winnerian
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 379
- 603
1. Siasa ni ugonjwa na ukikomaa unakuwa kilema kisicho tibika wala kugusika. Mfano mzuri uvimbi uote nyuma ya kisogo halafu uunganike na "nerve system" hata uende wapi "operation yake ni ngumu sana maana kuna matatu hapo wakikufanyia upasuaji unaweza kupona, kupata kichaa au kufa kabisa.
2. Siasa zetu kwa miongo kadhaa zimekuwa ni siasa za kuzalisha kizazi chenye kushikiliwa akili, kisichoweza kuwaza na kuwazua chenyewe kama chenyewe. NI mambo mengi yanahitajia akili kubwa na huru kuyatekeleza lakini hayatekelezeki kwakua hakuna hata mmoja wetu mwenye huo uwezo. Wale wenye uwezo wamejitenga pembeni na kuacha wajinga wachukue hatamu ya kuongoza. Mfano mzuri angalia content ya bungu la Jamuhuri utagundua asilimia kubwa ya wabunge IQ (Inteligent Quotient) yao ipo chini sana.
3. Issue ndogo sana kama kusimamishwa kazi kwa mkuu wa wilaya moja nchi nzima inakuwa ndio agenda ya watu 62,000,000. Fikiria issue kama hii itakaa kwenye trend kwa siku zaidi ya tano bila kuwa na issue nyingine.
4. Taifa limekaukiwa kabisa vijana wenye kuibua hoja zilizopita zilizopo na zijazo. Mfano Raisi aliepo SSH alitangaza kuchunguzwa kwa BoT. Hili lilitrend sana na watu wakapata shauku ya kujua lakini yakaja mambo mfululizo yakaifuta kabisa kwenye mawazo yetu na mazungumzo yetu. "Easily brainwashed generation"
5. Low Emotional Intelligence, Adult of Emotional Immature Parents, Generation of Emotional Coard n.k n.k
2. Siasa zetu kwa miongo kadhaa zimekuwa ni siasa za kuzalisha kizazi chenye kushikiliwa akili, kisichoweza kuwaza na kuwazua chenyewe kama chenyewe. NI mambo mengi yanahitajia akili kubwa na huru kuyatekeleza lakini hayatekelezeki kwakua hakuna hata mmoja wetu mwenye huo uwezo. Wale wenye uwezo wamejitenga pembeni na kuacha wajinga wachukue hatamu ya kuongoza. Mfano mzuri angalia content ya bungu la Jamuhuri utagundua asilimia kubwa ya wabunge IQ (Inteligent Quotient) yao ipo chini sana.
3. Issue ndogo sana kama kusimamishwa kazi kwa mkuu wa wilaya moja nchi nzima inakuwa ndio agenda ya watu 62,000,000. Fikiria issue kama hii itakaa kwenye trend kwa siku zaidi ya tano bila kuwa na issue nyingine.
4. Taifa limekaukiwa kabisa vijana wenye kuibua hoja zilizopita zilizopo na zijazo. Mfano Raisi aliepo SSH alitangaza kuchunguzwa kwa BoT. Hili lilitrend sana na watu wakapata shauku ya kujua lakini yakaja mambo mfululizo yakaifuta kabisa kwenye mawazo yetu na mazungumzo yetu. "Easily brainwashed generation"
5. Low Emotional Intelligence, Adult of Emotional Immature Parents, Generation of Emotional Coard n.k n.k