NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Wandugu habari.
Kwanza niseme mimi ni mwajiri anaechipukia na ninatengeneza sera yangu ya usimamizi wa rasilimali watu.
Ninaomba nisaidiwe kufahamu, je baada ya kutungwa kwa sheria mpya ya Kazi ya mwaka 2004 (The Employment and Labour Relations Act, 2004) je inamaanisha (kama nitakuwa nimeielewa second schedule ya sheria hii kwa lile neno "whole repealed") kuwa ile sheria ya Kazi ya mwaka 1964 (Security of Employment Act CAP 574 of 1964) haitumiki tena?
If so, swali langu la msingi ni kuwa, sheria ile ilitoa muongozo wa hatua za kinidhamu (code of disciplinary) kwenye second schedule yake pamoja na permissible penalties ambazo zilikuwa zikisaidia sana kwenye maamuzi ya adhabu za mfanyakazi. Kwa hii sheria ya sasa ya mwaka 2004 hizi code of discipline hazipo sasa sijajua je kuna kifungu chochote kinachotoa muongozo kama ule wa second schedule ya 1964 au ndio kila mwajiri atakavyojiamulia kivyake?
Au ndio sawa na ile iliyoonyeshwa kwenye section 99 ya sheria ya 2004 kuwa Waziri atatoa CODE OF GOOD PRACTICE na kuzibandika kwenye gazeti la serikali, je ndiyo mbadala wa zile code of discipline au ni vitu viwili tofauti? Kama ni kile kile kitu kimoja, je zimeshachapishwa kwenye gazeti la serikali? and if so, je naweza kupata msaada wa kuzipata?
Nawasilisha na ahsanteni sana
Kwanza niseme mimi ni mwajiri anaechipukia na ninatengeneza sera yangu ya usimamizi wa rasilimali watu.
Ninaomba nisaidiwe kufahamu, je baada ya kutungwa kwa sheria mpya ya Kazi ya mwaka 2004 (The Employment and Labour Relations Act, 2004) je inamaanisha (kama nitakuwa nimeielewa second schedule ya sheria hii kwa lile neno "whole repealed") kuwa ile sheria ya Kazi ya mwaka 1964 (Security of Employment Act CAP 574 of 1964) haitumiki tena?
If so, swali langu la msingi ni kuwa, sheria ile ilitoa muongozo wa hatua za kinidhamu (code of disciplinary) kwenye second schedule yake pamoja na permissible penalties ambazo zilikuwa zikisaidia sana kwenye maamuzi ya adhabu za mfanyakazi. Kwa hii sheria ya sasa ya mwaka 2004 hizi code of discipline hazipo sasa sijajua je kuna kifungu chochote kinachotoa muongozo kama ule wa second schedule ya 1964 au ndio kila mwajiri atakavyojiamulia kivyake?
Au ndio sawa na ile iliyoonyeshwa kwenye section 99 ya sheria ya 2004 kuwa Waziri atatoa CODE OF GOOD PRACTICE na kuzibandika kwenye gazeti la serikali, je ndiyo mbadala wa zile code of discipline au ni vitu viwili tofauti? Kama ni kile kile kitu kimoja, je zimeshachapishwa kwenye gazeti la serikali? and if so, je naweza kupata msaada wa kuzipata?
Nawasilisha na ahsanteni sana