Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
of course, sijui amount in figure bt kibongo bongo pale ndpo panapolipa zaidiNaomba kama kuna anayejua kiasi cha mshara atuambie, maana kusema mshahara wa ukweli tu haitoshi kujua ni kiasi gani. Ningependa kujua mshahara wa assistant lecturer pamoja na lecturer.
mk8 Rigo,nilikuwa naomba uniwekee sifa za hizo nafas hapa nje,kama zanifaa nijiandae kuomba,nimeshindwa kudownload kwenye web yao kwan natumia cm kwa sasa na niko mbali na huduma ya intanet,Kuna nafasi za wahadhiri, jamaa wanalipa vizuri for info visit http://www.saut.ac.tz
hata mimi natumia simu, lakini hzo nafasi zpo kwa wingi sana ukpata muda jaribu kutembelea hiyo web yao. Au kama kuna mtu anaweza kuweka hvyo vgezo afanye hvyomk8 Rigo,nilikuwa naomba uniwekee sifa za hizo nafas hapa nje,kama zanifaa nijiandae kuomba,nimeshindwa kudownload kwenye web yao kwan natumia cm kwa sasa na niko mbali na huduma ya intanet,
jamani hapa kunatetesi,kwamba shibuda akipigwa chini slaa anaenda kuchukua jimbo ikoje? hii wakuu
kwa SAUT WANAANZIA 1.7Mwakuu habari zenu! hivi mshahara wa assistance lecturer kwa hapa bongo ni shilingi ngapi jamani? mwenye taarifa sahihi kuhusu mishahara kwenye vyuo vya ifm, udsm, udom, st. joseph na n.k, please anijuze wandugu!