Noma kwa kuchuja wanafunzi nakuchukua cream tu, wakati millennium goal ni quality education for all, hao hata hawagiki 10% ya wanafunzi wote wa wilaya hiyo.Hii shule noma sana ,tena nishule ya kata tuu
Hao wamefaulishwa na kukaririshwa hamna ubora hapo. Wafuatilie mpk chuo.Wadau hamjamboni nyote?
Tutafute hela na muache wivuu
English medium ni shule bora kabisa na huwezi linganisha na hizo st kayumbee
Kwaherini
We bwege nenda kaangalie matokeo ya Kilakala na ni wasichana. Umeleta promo na matangazo ya biashara. Wapumbavu nyie nendeni mkaliwe na wajanja hukoWadau hamjamboni nyote?
Tutafute hela na muache wivuu
English medium ni shule bora kabisa na huwezi linganisha na hizo st kayumbee
Kwaherini
Alizidiwa niniMwanao akipata one tu tayari umemaliza kila kitu?
Mtafute engineer Mmoja humu aliitwa CCNPP nimesahau jina lake ana one ya 7 na one ya 3 lakini alizidiwa kila kitu kasoro ujinga na Humble african🤣🤣 Portfolio Portfolio
Shule ya kata inachukua jinsia moja?, kijiji hakizai wa kike?Hii shule noma sana ,tena nishule ya kata tuu
kama Baobab girls wanarecord pornographic videos kabisa. pumbavu weweeTabia chafu zote zipo shule za uswahilini.
mtu wa maana kabisa weweMitihani hii ya Kibongo sikubaliani nayo kabisa, hebu chukua watoto hao wape mtihani wa maisha mtaani, ndio utajua hujui
Pumbavu ni baba yako kum@ wewe..kama Baobab girls wanarecord pornographic videos kabisa. pumbavu wewee
Ziko mbili na zote zimeweka humohumoKwani katika hiyo wilaya kuna shule za namena hi ngapi? Utakuta kati ya wanafunzi 12000 wilaya nzima walio peform hivo ni 200 tu, hapo utasemaje mkuu.
Unazungumzia one za 62 boys wakati kuna nyingi zaidi girls 👉 Hii Ndio St.Fransis Girls Mbeya.Wadau hamjamboni nyote?
Tutafute hela na muache wivuu
English medium ni shule bora kabisa na huwezi linganisha na hizo st kayumbee
Kwaherini
Ungeona matokeo ya kibaha secondary usinge andika huu uzi kabisa mkuu.Wadau hamjamboni nyote?
Tutafute hela na muache wivuu
English medium ni shule bora kabisa na huwezi linganisha na hizo st kayumbee
Kwaherini
Mzazi mwenye uwezo wa kulipa ada ya 30 mil kwa ajili ya mtoto mmoja+siblings ni ama mfanyabiashara au Mwajiriwa mwenye kipato kikubwa.Ada milioni 30 kwa mwaka anamaliza anapata mshahara wa Serikali wa 1M kwa mwezi sawa na 12M kwa mwaka.
Huwezi kklingana na mtu alio lipa 15m kama ada nawewe ulio changia dawati la 25000, hata yule akipata div 2 wewe alie changia dawati upate 1 ya 7, hawezi kumzidi chochote na hutakuja kujilinganisha nae kimaisha mkuu imasokini usiwandanganye kwa kujifariji tu.Shule niliyosoma olevel kuna madogo 3 wana one ya 7, wawili wana 8, watatu wana 9. Ada bure na kila kitu bure.
Kama one ndio kipimo chako cha ubiora, Sasa huyu dogo aliesoma bure ana 1.7 st kayumba na dogo wa Feza mwenye 1.7 alielipa ada 9m wanatofautiana nini?
Shule za EM zaidi ya matokeo mazuri hazina kitu cha ziada kwa watoto, ni kupoteza rasilimali fedha tu na matokeo mazuri sasa hayana maana yoyote.