EMs ni shule bora wazazi tutafute hela! hebu cheki feza boys watoto 62 wa kiume wote wana wani

EMs ni shule bora wazazi tutafute hela! hebu cheki feza boys watoto 62 wa kiume wote wana wani

Huwezi kklingana na mtu alio lipa 15m kama ada nawewe ulio changia dawati la 25000, hata yule akipata div 2 wewe alie changia dawati upate 1 ya 7, hawezi kumzidi chochote na hutakuja kujilinganisha nae kimaisha mkuu imasokini usiwandanganye kwa kujifariji tu.
Acha ngonjera na mipasho ya kishambenga, nitajie anamzidi nini? Wote wana 1.7, wa feza anamzidi nini wa Kayumba.

Mambo ya umasikini sijui nini, toka lini ukawa mke wangu kujua mimi ni masikini?
 
Mkuu kama Feza ndo kesi study yako sio picha halisi ya Ems, ada ya Feza wazazi wanao iweza ni 0.001%, Ems ni nzuri sio kwa ufaulu tu hata kwa mambo mengine, kama ni kufauli siku hizi hata hizi shule St LIKUD wanafaulu wote kuenda form one, sasa kutana nae Darasani ndo utajua au hujui.
Hahaha st. LIKUD
 
Acha ngonjera na mipasho ya kishambenga, nitajie anamzidi nini? Wote wana 1.7, wa feza anamzidi nini wa Kayumba.

Mambo ya umasikini sijui nini, toka lini ukawa mke wangu kujua mimi ni masikini?
Mzee huwezi kinielewa katika hili naomba mtu mwenye ufafanuzi zaidi akueleweshe, ni sawa sawa kusema kwama Bakheresa akifilisiwa anaweza akawa sawa sawa kimaisha na mualimu wa shule za umma au machinga wakalingana, kwanza wanalingana kwa lipi?
 
Ada milioni 30 kwa mwaka anamaliza anapata mshahara wa Serikali wa 1M kwa mwezi sawa na 12M kwa mwaka.
Mnadanganyana sana mzazi amlipie hiyo ada utakutana nae anaomba kazi sidhani kama wazazi wa hivyo wapo Nchi hii...ukiona wanalipa hizo fees wengi wana miradi mikubwa na wengi wao wanakuja kuendeleza kazi za wazazi wao..
 
Wote wana division one ila unaweza kuta hakuna hata mmoja anayeweza kuandika program ya ku print Hello world. Inasikitisha. Wazazi walikariri kuchora panzi wanafurahia watoto wao pia wachore panzi kwenye makaratasi
 
Ada milioni 30 kwa mwaka anamaliza anapata mshahara wa Serikali wa 1M kwa mwezi sawa na 12M kwa mwaka.
Hao wakimaliza fedha wanamiradi ya wazazi wao ,au wanafanyakazi nnje . sijawahi kuwaona chini huko ,labda tuambie
 
Shule niliyosoma olevel kuna madogo 3 wana one ya 7, wawili wana 8, watatu wana 9. Ada bure na kila kitu bure.

Kama one ndio kipimo chako cha ubiora, Sasa huyu dogo aliesoma bure ana 1.7 st kayumba na dogo wa Feza mwenye 1.7 alielipa ada 9m wanatofautiana nini?

Shule za EM zaidi ya matokeo mazuri hazina kitu cha ziada kwa watoto, ni kupoteza rasilimali fedha tu na matokeo mazuri sasa hayana maana yoyote.
100%. Fact
 
Ungeona matokeo ya kibaha secondary usinge andika huu uzi kabisa mkuu.
One zipo 104 na hakuna 2 ,3,wala 4 . We unalipa M 30 mtoto ana one ya 10 unajisifia na wale wasio lipa wana One ya 7 zipo kibaooo tu .
Fact
 
Mzee huwezi kinielewa katika hili naomba mtu mwenye ufafanuzi zaidi akueleweshe, ni sawa sawa kusema kwama Bakheresa akifilisiwa anaweza akawa sawa sawa kimaisha na mualimu wa shule za umma au machinga wakalingana, kwanza wanalingana kwa lipi?
Kama unaetetea mwenyewe hujui kuna tofauti gani kati ya 1.7 ya kayumba na 1.7 ya feza unataka hadi mtu mwingine anieleweshe maana yake ni kwamba tofauti ya wazi na halisi haziipo, tofauti unazoziona wewe ni za kihisia tu na kufikirika.
 
Shule nyingi tu kila mwaka zinatoa one flat kuwavutia wazazi wajinga.
At the penalt hizo one hazina tija kwa taifa .
MWanafunzi hapati one kwa ajili ya taifa ni kwa ajili ya performance yake mwenyewe. Inamjengea opportunity za kusonga mbele zaidi. Huko kwenye ajira hakuna mahali wanataka 1 ya form 4, na hamna sheria hiyo nchi hii
 
Mwanao akipata one tu tayari umemaliza kila kitu?
Mtafute engineer Mmoja humu aliitwa CCNPP nimesahau jina lake ana one ya 7 na one ya 3 lakini alizidiwa kila kitu kasoro ujinga na Humble african🤣🤣 Portfolio Portfolio
Duh!....
 
Ndio ninacho sema ni itatuchukua muda sana kuja kugundua kwamba mitihani ya Taifa ni Scam kubwa sana na Fabrication za kutisha kutengeneza biashara.

Hizo one hutakaa uzisikie tena zilipo ishilia, hutakaa uzione zina translate mambo mtaani.

Kushindanisha wanafunzi ni model ya zamani saba nchi nyingi walisha achana na huo ujinga kitambo sana, Bongo still tunauabudu sana kwa nguvu zote
Duh!...
 
Back
Top Bottom