Counsellor Sima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 539
- 575
Watu wa matukio...hadi kwenye nyumba za ibada......siwez sali mm kanisa kama hilo......roho mtakatifu atakwazwa kabisa......Askofu mwanasiasa na matukio.....siwez hata siku moja......watu bado kabisa....wamefungwa sijui spiritually......Mungu tuepushe.Na leo watu walifurika kusikia akimchambua Diamond.....Duh Watanzania sijui uwezo wetu wa kufikiri unaishia wapi.
Ugumu wa maisha naona unavyodumaza uwezo wa kufikir kwa Watanzania....wanaambiwa sema Amen...nao wanasema amen......ibada unahubiri kumuongelea mtu na maneno ya kwenye khanga...na waumin wanaongeza sadaka...kama sio kulogwa ni nn hyo.....mwenye akili timamu hawez ingia kanisa lile hata....Huyo anapenda kiki sana, hana lolote la kusema.
Natumaini mmetoa sadaka hata kwa kumrushia.
Dunia hii na watu mnachukua aliyosema ha ha ha haaaa, kanisa ni biashara kwa wengine.
Mpaka uone video kwanini huamini katika Simbols anazotumia badala yakuamini VideoLeo akizungumza Kanisani, mchungaji Gwajima amesema amemsamehe Msanii Wa mziki nchini Diamond na kuongeza kuwa kama so kuomba msamaha alipanga kumuumbua juu ya namna alivyojiunga, wapi na tarehe aliyojiunga chama cha Freemason. pia ameeleza atatoa video zinazomuonesha pindi akijiunga na harakati zingine.
ikitokea hivi basi diamond nitakukimbia na sitakuwa mshabiki Wa mziki wako tena
Mkuu watake radhi watanzania walio wengi kwa kuwachanganya na bavicha! Gwajima anazijua akili za bavicha.Akili ndogo ni mtaji wa matapeli! Jamaa anajua kucheza na akili za wabongo kwani anajua zinapoanzia na zinapokomea!
Bora ninyamaze.....halafu anasema.....naona kijana anaahidiwa makubwaView attachment 493258[emoji40]
Wewe uliye naakili kubwa umebadilisha nn ktk changamoto zinazo zunguka jaamii yako unayoishi karibu nayooo...Sana! Wana akili ndogo.
Leo akizungumza Kanisani, mchungaji Gwajima amesema amemsamehe Msanii Wa mziki nchini Diamond na kuongeza kuwa kama so kuomba msamaha alipanga kumuumbua juu ya namna alivyojiunga, wapi na tarehe aliyojiunga chama cha Freemason. pia ameeleza atatoa video zinazomuonesha pindi akijiunga na harakati zingine.
ikitokea hivi basi diamond nitakukimbia na sitakuwa mshabiki Wa mziki wako tena
Leo akizungumza Kanisani, mchungaji Gwajima amesema amemsamehe Msanii Wa mziki nchini Diamond na kuongeza kuwa kama so kuomba msamaha alipanga kumuumbua juu ya namna alivyojiunga, wapi na tarehe aliyojiunga chama cha Freemason. pia ameeleza atatoa video zinazomuonesha pindi akijiunga na harakati zingine.
ikitokea hivi basi diamond nitakukimbia na sitakuwa mshabiki Wa mziki wako tena
Muislamu gani we unapenda mambo ya dunia kajambe huko na ukome kutukana din za watu[emoji23][emoji23][emoji23]!!!Yaani najivunia kuwa muislamu
Makanisa yamejaa uchafu na ujinga mwingi sana!!
Yaani mi nilijua jamaa anakuja kusema scandal ambayo hatujawahi kuisikia!kumbe yaleyale ya miaka yote?!
Halafu kumbe Gwajima mwoga sana[emoji23][emoji23],watu tulikuwa tumekaa tunasubiri atoe ushahidi tu tumburuze mahakamani,angetoa hiyo CD kudadadeki WASAFI tungekuwa matajiri sasa hivi...Yaani tungeku SUE mpaka ungeshangaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Bashite ndiye anawajengea jengo gani vile ?[emoji23][emoji23][emoji23]!!!Yaani najivunia kuwa muislamu
Makanisa yamejaa uchafu na ujinga mwingi sana!!
Yaani mi nilijua jamaa anakuja kusema scandal ambayo hatujawahi kuisikia!kumbe yaleyale ya miaka yote?!
Halafu kumbe Gwajima mwoga sana[emoji23][emoji23],watu tulikuwa tumekaa tunasubiri atoe ushahidi tu tumburuze mahakamani,angetoa hiyo CD kudadadeki WASAFI tungekuwa matajiri sasa hivi...Yaani tungeku SUE mpaka ungeshangaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kujua kwamba jay z ni illuminat hauhitaji kuwa illuminat ukiona symbols wanazopotray kwenye video zao unajua....same to bwana nasibu..anavyoonesha vidole vitatu ile sio swaga ni order inabidi afanye vile ndo ..alama ya vidole vitatu ndo inatumika sana sasa hivi..angalia pia video ya drunk in love ya beyonce na jay z utaona...Gwajima kajuaje ? May be naye yumo
Wewe akili zako zimefungiwa na baba Paroko huwezi kujitambuwa.Watu wa matukio...hadi kwenye nyumba za ibada......siwez sali mm kanisa kama hilo......roho mtakatifu atakwazwa kabisa......Askofu mwanasiasa na matukio.....siwez hata siku moja......watu bado kabisa....wamefungwa sijui spiritually......Mungu tuepushe.
Gwajima ni taasisi usimchukulie powa, muulize Bashite atakueleza vizuri.Cha kujiuliiza gwajima alizipataje hizo video? Au na yeye ni mmoja wao