Endapo nikaziona Video za Diamond akijiunga freemason, sitashabikia mziki wake tena

Watanzania tulio wengi akili zetu kama zimejaaa matope! People are working hard to make money huku tunawaona kabisa lakini hatuamini kama ni bidii zao. Sisi Kazi kushupalia mambo yasiyo ya msingi kwenye mitandao tu! Haya tuendeleeeni kuita wajenzi huru huku jamaa wanazidi kutafuta pesa sisi mambo yasiyo ya msingi ndo yanatupotezea muda wetu!
 
Nikutokana na Mtazamo wa Jamii na Maneno yanazongumuziwa Juu ya "Freemasons"
Hapo inavyoonekana gwajima anaona kuwa free mason ni kosa.ndo maana anataka kutumia kama fimbo ya kumuadhibu diamond si ndio?
 
Uo n ulimbuken kuji unga freemaxon iy n mapenzi ya mtu mwenyw.kutoxhabkia wimb kixa. Ufreemaxon utakua mxenge
 
Sasa akiwa Freemason wewe inakuhusu nini?
 
Hapo inavyoonekana gwajima anaona kuwa free mason ni kosa.ndo maana anataka kutumia kama fimbo ya kumuadhibu diamond si ndio?
Watu wa dini na watu walio wengi wanaitazama"Freemasons" kama watu wabaya mno watu wasio faa katika Jamii.

Kwani wewe unawachukuliaje hao "freemasons"...?
 
Watu wa dini na watu walio wengi wanaitazama"Freemasons" kama watu wabaya mno watu wasio faa katika Jamii.

Kwani wewe unawachukuliaje hao "freemasons"...?
50/50.maana nasikia hadithi tofauti tofauti.hapa gwajima anataka kutuonyesha kuwa Freemasonry ni kosa.au sio?
 
mpeni Kiki Tu... Dai anavopenda kucheza na akil za watu [HASHTAG]#Simbamason[/HASHTAG]
 
50/50.maana nasikia hadithi tofauti tofauti.hapa gwajima anataka kutuonyesha kuwa Freemasonry ni kosa.au sio?
Kwa sababu ni Mtumishi wa Mungu kama avyotambulika na wengi,
Nadhani anatakuonyesha na kufafanua kuhusu Mambo ya "Freeemasons".
 
Siyo makanisa yote ni kama huko kwako wenzio wanavyochinja watu
 
Kosa ni Kinyesi cha siasa alicho jipaka atanuka sanaaa na bado nzi kumfuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…