Endapo nikaziona Video za Diamond akijiunga freemason, sitashabikia mziki wake tena

Mtarban

Freemason ni nini??

Maana usije ukawa umeingia kwenye mtego wa story za kitaa za kina Sheikh Yahya??
 
Kama kamtuhumu kijana wa watu pasipo kweli, huyo kijan aliychafuliwa ama ni kwa jinsi isivyo kweli, aende mahakamani akadai fidia kwa defamation.
Alivyomuimba Askofu?double standard
 
Jamaa anadai hadi cku alioingia freemansory anaijua.
 
Hapo inavyoonekana gwajima anaona kuwa free mason ni kosa.ndo maana anataka kutumia kama fimbo ya kumuadhibu diamond si ndio?

Ukienda kwenye Wikipedia kila kitu kiko pale. Hatupendi kusoma tunapenda ubuyu wa kina gwajima.
 
Na leo watu walifurika kusikia akimchambua Diamond.....Duh Watanzania sijui uwezo wetu wa kufikiri unaishia wapi.
Hujui kwamba Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo wananchi wake hawana furaha? Kwa hiyo wanatafuta mahali pa kutolea stress zao kama kwa gwajima and the like (magazeti ya udaku)
 
Video,, picha wa wap na lini alijiunga dai ndo Freemasonry,,,,,itakua wako chama moja sabab wachungaji ka hawa walitabiriwa watatokea kwa kpnd ka hiki ndo hawa sasa
 
Gwajima ni taasisi usimchukulie powa, muulize Bashite atakueleza vizuri.

Yule si taasisi. Angekuwa taasisi hiyo mipasho ya kanisani kwake asingeendelea kuitoa. Mamlaka iliyomuweka ingemtia nidhamu au kumuondoa.
Kanisa lake haliko authoritative kama rc. Yeye hilo kanisa ni sawa na kabati lake analifanya kama anavyotaka. Na si ajabu ndo maana analiita familia.
 
Na hizi video alizichukuaje kama na yeye siyo walewale ?JG Mungu anakuona ujue.
 
Tatizo nililoliona ni kuwa wengi hawajui freemason ni nini??
Na ukweli kuhusu freemason waupate wapi??

Please nendeni Wikipedia you will get some clue.
 
Huyu Gwajima anapenda umbea na udaku kama demu, yaani muongo muongo tu. Huyu ndio wale aliowamba Ney, waliowaliofumuliwa malinda? [HASHTAG]#Wapo[/HASHTAG]
 
Na diamond hakutegemei wewe unaburn cd so endelea na huyo nabii wako mpiga sadaka.
 
Simbamason! Hivi Freemason Unajiungajee???? Nahangaika kila siku kutafuta njia Ya kujiunga Sipati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…