Endelea kufurahia goli la leo la Yanga

Hii wiki ni wiki ya maumivu kwa mashabiki wa Simba..
1-wamepigwa na azam
2-kafungwa geita wanaumia Simba
3-wana gap la 6 points
4-goli la Aziz ki dhidi ya manula
5-kesho wana kibarua kizito na mtibwa
.kila wakilala wanaweweseka

6.Leo wanamfuka Mgunda na Matola
 
Mi si najua mashabiki wa yanga ni weupe mwambie ajibu nimuonyeshe kwamba sijakula ada buree mnaenda lini airport kuwapokea warabu maana ndo kazi mnayoiweza akili mtazitolea wapi
Kwa mtazamo huo ulionao, ni dhahiri uelewa wako ni below average
 
Ni muhimu sana itawasaidia mashabiki wa yanga wajao wasiende tena airport kupokea team zetu zinapo wakilisha taifa ila mpaka hichi kizazi cha mazezeta kipotee kwanza.
***hichi or hiki
 
Kwa mtazamo huo ulionao, ni dhahiri uelewa wako ni below average
Just imagine kama mimi nipo hivyo je wale wanaoenda airport kupokea wageni watakuwa na akili za namna gani ndo maana tunarudi pale pale wenye akili ni wawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…