Endelea kupenda hela kuliko utu ipo siku utakumbuka maneno haya

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Asalaam alhkumu.

This is the world we are passing through. Fanya yote tambua iko siku utalala kwenye tumbo la ardhi.

Jifanye mbabe, nguli gaidi n.k kaburi inakusubiri, hela ni mfumo na hela ndo kitu ambacho kinabadilisha watu mwisho kujipa ukuu kwasababu anachambambi chambi.

Endelea na kiburi jifanye mjuaji, maarifa yakizidi mwisho utakufuru aliyekuumba ila utambui kwanza ulianza kuwa (Hisia, mwisho maji yaliyochangika na shahawa mwisho damu mara nyama leo uko Dunian unajikuta mjanja. 😁

Binadamu tunatengeneza siraha kwa sababu ya binadamu wenzetu na wala sio wanyama. Mnyama now yuko mbora kuliko mwanadamu maana wako na huruma kuliko mwanadamu mwenye akili.

kufanikiwa isiwe nafasi ya kumkashifu mwenzako ambaye bado hajajipata (kabla hujafa haujaumbika ) ni suala la muda tu. Na haya ni maisha na tunapita tu.

wanaopotea kwenye uso wa dunia hawaendi china maana hata wanaenda china wanarudi.

JALI UTU WA MTU AISEE. HIZO PESA HAZIWEZI KUKUSAIDIA PINDI UNAHITAJI MSAADA.
 
Sema nini, haya maisha ishi unavyoweza, ishi kwaajili ya kupata furaha.
 
Yote ya yote mkuu hakuna kitu kibaya kama umaskini , umaskini na utu kuna mda ni ndugu wa karibu ,japo umaskini ukizidi utu unakimbia.
 
Hii ni Dunia ya kibepali na Kinyang'au hivyo kama huna pesa wewe ni kima tu.

Kumbuka ubepali ni unyama na Wala haujari utu wa Mwanadamu.
 
Hata ukiwa mpole mstaarabu utakufa tu kabuli halichagui
Ngoja niende kwa jimama langu mie[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Acha kujifariji na umaskini.

Tafuta hela.....
 
Una tatizo la kisaikolojia njoo PM upewe msaada bure kabisa kabla hali haijazidi, naona kama una dalili fulani fulani ambazo siwezi kuweka wazi hapa
Kwakuwa nawe umecomment hata na wewe hivo hivo... 🏎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…