Endeleeni kudhani la Sukari ni la Bashe, Mpina na Spika wa Bunge ila Mlengwa Mkuu anahaha baada ya Kushtukiwa kupiga Dili na Mwana

Endeleeni kudhani la Sukari ni la Bashe, Mpina na Spika wa Bunge ila Mlengwa Mkuu anahaha baada ya Kushtukiwa kupiga Dili na Mwana

Jamaa yupo vzr hadi kufikia Serikali ya Uganda kufanya nae kazi ujue siyo mtu wa mchezo mchezo , ingawa Kuna memba humu huwa mnamletea madharau
Nashukuru kwa Kuliweka wazi japo nakuomba uishie tu hapa kwani napenda Kudharauliwa na Wapumbavu na Washamba ili baadae Uhalisia wangu Kamili wakija Kuuona na Kuujua wajue kuwa GENTAMYCINE siyo wa Level yao na Watu waache Kudharauliana hapa JamiiForums.
 
Tafadhali naomba mwana JamiiForums yoyote mwenye ule Wimbo uitwao SIRI IMEFICHUKA nadhani uliimbwa na Chidumule au Remmy ( sina uhakika sana na Mtunzi ) aniwekee hapa ili si tu Niusikilize bali pia Niserebuke nao.

Nami nataka kwenda Studio ili nije na hiki Kibao changu ( huu Wimbo wangu ) utakaosema ....."Nitetee kwa Nguvu zako zote..........mbane huyo Kiherehere ili asiniharibie.....hakikikisha unamuadhibu ili Viherehere wengine waogope.....na ukilifanikisha jua nawe pia njia yako hapo ulipo itakuwa salama kubakia kwa mara nyingine kwa miaka mitano....nakuaminia hutoniangusha hasa Wote tukiwa tunafanana Kijnsia....." mwisho wa sehemu ya Maudhui yaliyoko katika Wimbo wangu na ni Imani yangu wana JamiiForums mtaupenda na Kuusikiliza kila mara.

Kudadadeki.....!!
Mmmh!
 
Tukutane Nyamuswa ukiwa unaelekea Butiama, utusalimie kidogo.
Nimekaribia Mkuu. Nitapita kwa Ndugu zangu ( Wazanaki ) wote na nimeamua nitachukua Likizo ya Wiki Mbili ambapo nataka Wiki Moja nzima ( Siku Saba ) nizimalizie Kijijini Kwangu huku nikifanya nao Shughuli zote za Kijijini kisha Nitambike kwa Kutukuka kabisa katika Mizimu yetu na baada ya hapo niende Busegwe kumuombea Mzee wangu ( Uncle ) Marehemu Mzee Mkono kisha niende Butiama katika Kaburi la Hayati Baba wa Taifa kuchukua Baraka zake zaidi kwani hata Jina langu halisi ninalotumia tokea Nizaliwe alinipa Yeye nilipozaliwa Agha Khan Hospital kisha akawa wa Kwanza kuja Kunibeba akitoke Jirani tu Ikulu ya Magogoni na nikitoka hapo nitaenda kumuona Rafiki yangu mkubwa CDF Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri na nikitoka hapo naenda Musoma Mjini kutembelea baadhi ya Ndugu halafu nitapita Bunda kumtembelea Dada yangu halafu naenda Mwanza kuwaona Kaka na Dada walioko huko kisha narejea zangu Uganda kuendelea na Majukumu yangu ya Kuiheshimisha Tanzania na Watanzania ndani ya Taifa la Uganda lililoniheshimisha pakubwa sana kiaisi kwamba Shukran zote nazipeleka kwa Mwenyezi Mungu kwa MAAJABU yake makubwa na ya Kihistoria Kwangu.
 
Genius Siku zote huandika ya maana sema tu Wengi wenu kwa Makusudi huwa mnachagua Kutonielewa Mzanaki na Myao Tukuka Mimi GENTAMYCIN

Genius Siku zote huandika ya maana sema tu Wengi wenu kwa Makusudi huwa mnachagua Kutonielewa Mzanaki na Myao Tukuka Mimi GENTAMYCINE.
Sasa nimeanza kuelewa sakata lote baada ya kusoma taarifa ya Mpina na kuunganisha na speech
Genius Siku zote huandika ya maana sema tu Wengi wenu kwa Makusudi huwa mnachagua Kutonielewa Mzanaki na Myao Tukuka Mimi GENTAMYCINE.
Ukiunganisha taarifa ya Mpina na speech ya Lissu ndipo utaelewa vizuri, maana Lissu yeye ameenda mbali na kumtaja abduli kabisa
 
Nimekaribia Mkuu. Nitapita kwa Ndugu zangu ( Wazanaki ) wote na nimeamua nitachukua Likizo ya Wiki Mbili ambapo nataka Wiki Moja nzima ( Siku Saba ) nizimalizie Kijijini Kwangu huku nikifanya nao Shughuli zote za Kijijini kisha Nitambike kwa Kutukuka kabisa katika Mizimu yetu na baada ya hapo niende Busegwe kumuombea Mzee wangu ( Uncle ) Marehemu Mzee Mkono kisha niende Butiama katika Kaburi la Hayati Baba wa Taifa kuchukua Baraka zake zaidi kwani hata Jina langu halisi ninalotumia tokea Nizaliwe alinipa Yeye nilipozaliwa Agha Khan Hospital kisha akawa wa Kwanza kuja Kunibeba akitoke Jirani tu Ikulu ya Magogoni na nikitoka hapo nitaenda kumuona Rafiki yangu mkubwa CDF Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri na nikitoka hapo naenda Musoma Mjini kutembelea baadhi ya Ndugu halafu nitapita Bunda kumtembelea Dada yangu halafu naenda Mwanza kuwaona Kaka na Dada walioko huko kisha narejea zangu Uganda kuendelea na Majukumu yangu ya Kuiheshimisha Tanzania na Watanzania ndani ya Taifa la Uganda lililoniheshimisha pakubwa sana kiaisi kwamba Shukran zote nazipeleka kwa Mwenyezi Mungu kwa MAAJABU yake makubwa na ya Kihistoria Kwangu.
Sasa hapa ndipo unapovurugaga kwa kupitiliza.

Tuliozaliwa miaka ya nyuma Dar martenity ilikuwa ni ocean road, baadaye after 70's ndio ikaja Muhimbili.
 
Siriiiii imefichukaaaaaa... siri imefichukaaaaa kosa la Mpina kaleta balaaa, mpina kaleta aibuuu
 
Sasa hapa ndipo unapovurugaga kwa kupitiliza.

Tuliozaliwa miaka ya nyuma Dar martenity ilikuwa ni ocean road, baadaye after 70's ndio ikaja Muhimbili.
Nikikuita IDIOT usiwe unakataa sawa. Nasisitiza nimezaliwa Agha Khan Hospital Siku ya Jumanne, Saa 12 na dakika 45 Asubuhi chini ya Uangalizi wa Manesi Wawili Aghatha na Brenda. Na kukuonyesha kuwa Wewe ni IDIOT hata Cheti changu cha Kuzaliwa kimeandikwa Agha Hospital ndiko nilikozaliwa.

Tatizo lako unapenda Kushindana nami wakati huna HADHI yoyote ile ya kufanana nami na huwa nakunyamaziaga tu ili Kukuchora huku mwenyewe ukijiona na ukidhani ni Bonge la Mjanja hapa JamiiForuma kumbe ni Mshamba na IDIOT Mmoja Tukuka.

Kuhusu Mimi kuwa nipo Ikulu ya Uganda sijaanza kuwa hapa Leo bali hata mwaka 1996 hadi 2001 nilikuwa hapa na hivi sasa nipo tena hapa kwa Heshima kubwa sana ya Kihistoria ya Uganda na Tanzania na kwa Heshima pia ya Kifamilia. Na siyo tu nipo Ikulu Uganda pali pia nalindwa na naendeshwa na Watu wa SFC ( Makomandoo ) wa Jeshi la Uganda na kuna Kazi kubwa naifanya ya Kiuheshimisha Tanzania inayonifanya kila Siku niwe Makao Makuu yao ya Jeshi Mbuya na katika Vyuo vyao Kadhaa vya Kijeshi kwa Malekezo ya CIC Rais na CDF Muhoozi.

IDIOT mkubwa Wewe tena ukae mbali kabisa na Mimi na usije Kukariri unavyowaona Watu hapa JF basi ndivyo Walivyo.

Nimemalliza na nakuacha sasa Ubwabwaje kama Mbwa Koko mwenye Njaa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
 
Back
Top Bottom