Endeleeni kulipa watu na pages zao ili wasambaze propaganda za kuwaaminisha mashabiki wenu kuwa Yanga sc inabebwa na ndiyo maana imechukua ubingwa

Endeleeni kulipa watu na pages zao ili wasambaze propaganda za kuwaaminisha mashabiki wenu kuwa Yanga sc inabebwa na ndiyo maana imechukua ubingwa

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nimezunguka kwenye mitandao mpaka mtaani mpaka kwa viongozi wa matawi wote wamejifichwa kwenye kivuli za Yanga sc inabebwa na ndiyo maana wamchukua kombe la Nbcpl.

kwani kilichowatoa kwenye kombe la FA kwa kipigo cha mkwaju ya penati huko kigoma napo Yanga walikuja kushiriki kuwatoa??

je mlipochukua ngao ya jamii na Muungano tena kwa ushenzi wa wazi kabisa Ally salimu anadaka kwa kutoka kabla mchezaji hajapiga penati kuna mtu aliongea kwnye ubingwa wenu wa michongo??

kwani mlipotolea kwenye kombe la Mapinduzi tena mlionesha maajabu kwa kumuingiza onana aliyekua hata benchi hayupo je Yanga napo walishiriki kuwatoa huko mapinduzi?

MAONI YANGU: HUU SIYO MUDA WA KULIPA WATU ILI WAISIFIE SIMBA SC KWA KUSEMA YANGA IMEBEBA UKWELI HALISI NI MUDA WA KUTAFAKARI NA KUFANYA USAJILI ULIO BORA NA SIYO KUSAMBAZA PROPAGANDA WAKATI TIMU INAONEKANA INAVYOCHEZA
 
Hakuna anae lipa bali ni mashabiki wa utopolo wanazusha wenyewe propaganda
GM9TpESWUAAs5kn.jpeg
 
Msomi wa MUM huyu ndio kiwanda cha Maneno na Propaganda. Anawachota akili majuha tu ya pale msimbazi.
1715660643942.jpg
 
Nimezunguka kwenye mitandao mpaka mtaani mpaka kwa viongozi wa matawi wote wamejifichwa kwenye kivuli za Yanga sc inabebwa na ndiyo maana wamchukua kombe la Nbcpl.

kwani kilichowatoa kwenye kombe la FA kwa kipigo cha mkwaju ya penati huko kigoma napo Yanga walikuja kushiriki kuwatoa??

je mlipochukua ngao ya jamii na Muungano tena kwa ushenzi wa wazi kabisa Ally salimu anadaka kwa kutoka kabla mchezaji hajapiga penati kuna mtu aliongea kwnye ubingwa wenu wa michongo??

kwani mlipotolea kwenye kombe la Mapinduzi tena mlionesha maajabu kwa kumuingiza onana aliyekua hata benchi hayupo je Yanga napo walishiriki kuwatoa huko mapinduzi?

MAONI YANGU: HUU SIYO MUDA WA KULIPA WATU ILI WAISIFIE SIMBA SC KWA KUSEMA YANGA IMEBEBA UKWELI HALISI NI MUDA WA KUTAFAKARI NA KUFANYA USAJILI ULIO BORA NA SIYO KUSAMBAZA PROPAGANDA WAKATI TIMU INAONEKANA INAVYOCHEZA
Pomoja na ubora lakini kubebwa pia mmebebwa sana.
Hata hivyo hii haiondoi ukweli kuwa viongozi wa Simba,na wapiga kura wote wana kiwango cha chini sana.
Kwa hiyo ilitakiwa busara ya mfadhili kupata mtu sahihi wa kudili na Simba kama alivyofanya gsm jeshi la mtu mmoja Eng. Hersi
 
Nimezunguka kwenye mitandao mpaka mtaani mpaka kwa viongozi wa matawi wote wamejifichwa kwenye kivuli za Yanga sc inabebwa na ndiyo maana wamchukua kombe la Nbcpl.

kwani kilichowatoa kwenye kombe la FA kwa kipigo cha mkwaju ya penati huko kigoma napo Yanga walikuja kushiriki kuwatoa??

je mlipochukua ngao ya jamii na Muungano tena kwa ushenzi wa wazi kabisa Ally salimu anadaka kwa kutoka kabla mchezaji hajapiga penati kuna mtu aliongea kwnye ubingwa wenu wa michongo??

kwani mlipotolea kwenye kombe la Mapinduzi tena mlionesha maajabu kwa kumuingiza onana aliyekua hata benchi hayupo je Yanga napo walishiriki kuwatoa huko mapinduzi?

MAONI YANGU: HUU SIYO MUDA WA KULIPA WATU ILI WAISIFIE SIMBA SC KWA KUSEMA YANGA IMEBEBA UKWELI HALISI NI MUDA WA KUTAFAKARI NA KUFANYA USAJILI ULIO BORA NA SIYO KUSAMBAZA PROPAGANDA WAKATI TIMU INAONEKANA INAVYOCHEZA
huo ujinga utawapumbaza
 
Back
Top Bottom