Endeleeni na mazoezi ya wazi Bunju/Boko, endeleeni na uzungu wenu

Endeleeni na mazoezi ya wazi Bunju/Boko, endeleeni na uzungu wenu

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Jamani kila siku tunawaomba hayo mazoezi nendeni hata gymkhana au zungusheni fensi ya mabati kule Bunju hamtaki eti nyie viongozi ni wazungu

Utopolo mwaka huu wamesema liwalo na liwe lazima wachukue ubingwa na mimi naanza amini maneno yao kama huu uzungu feki hautakomeshwa itakuwa too late aisee

Halfu Said Tully ana cheo gani hapo simba kwa sasa? Kaulizeni watu aliosoma nao kama hawajui jamaa ni yanga lialia,na kila nikikumbuka kile kisa chake mwaka ule akiwa kamati ya utendaji eti kaporwa milioni 12 ya gate collection pale sinza nacheka sana, yaani mjumbe akiondoka na mapato ya mlangoni ya team akaenda kuibiwa Sinza leo namuona bado anahusika Simba.

Hivi mko serious kweli, mashabiki tuna mpango wa kuwasusia team lenu sasa maana mnazidiwa mbinu hata mkipewa ushauri hamtaki eti nyie ni wazungu wabongo
 
Labda ni ushamba wangu hivi Al ahly huwa wanafanya mazoezi sehemu ya wazi kama simba inavyo fanya pale Bunju kila mtu anaruhusiwa kuingia
 
Wazungushiwe fensi wamekuwa tanzanite ya mererani? kama hao wachezaji hawaaminiwi wauzwe wote timu mpya itengenezwe, sio kila wazo la kujibebea tu.
 
Acheni fikra potofu simba mwaka jana ilifanya mazoezi kwenye uwanja huo huo wa Bunju uliowazi na imebeba Ligi kuu VPL na kombe la shirikisho la azam pamoja na kufika robl fainali klabu bingwa Africa
Tufanye mazoezi tumejiziba ziba watu wasione tumekuwa tunawanga mkuu mbona unajitia hofu hivyo
 
Jamani kila siku tunawaomba hayo mazoezi nendeni hata gymkhana au zungusheni fensi ya mabati kule Bunju hamtaki eti nyie viongozi ni wazungu

Utopolo mwaka huu wamesema liwalo na liwe lazima wachukue ubingwa na mimi naanza amini maneno yao kama huu uzungu feki hautakomeshwa itakuwa too late aisee

Halfu Said Tully ana cheo gani hapo simba kwa sasa? Kaulizeni watu aliosoma nao kama hawajui jamaa ni yanga lialia,na kila nikikumbuka kile kisa chake mwaka ule akiwa kamati ya utendaji eti kaporwa milioni 12 ya gate collection pale sinza nacheka sana, yaani mjumbe akiondoka na mapato ya mlangoni ya team akaenda kuibiwa Sinza leo namuona bado anahusika Simba.

Hivi mko serious kweli, mashabiki tuna mpango wa kuwasusia team lenu sasa maana mnazidiwa mbinu hata mkipewa ushauri hamtaki eti nyie ni wazungu wabongo
Said ni tatizo sana.....huyu toka kipindi cha Aveva alikuwa ni sumu.....na huyu ni yanga toka mtoto...ila kwa sababu simba ina upuuzi wala hawajali ndio kwanza wamemuongeza mpuuzi mwingine Mwijaku...hakika hii timu haijitambui
 
Said ni tatizo sana.....huyu toka kipindi cha Aveva alikuwa ni sumu.....na huyu ni yanga toka mtoto...ila kwa sababu simba ina upuuzi wala hawajali ndio kwanza wamemuongeza mpuuzi mwingine Mwijaku...hakika hii timu haijitambui
Said Tully hadi leo namuona yuko karibu na uongozi nashindwa kuelewa ndiyo maan nasema uzungu wa Barbara utamtokea puani mwaka huu
 
Hata kipindi cha mtume watu Kama ninyi mlikuwepo.
Yaani anajifanya yupo na Muhammad kumbe ni msaliti tu.
 
Hata kipindi cha mtume watu Kama ninyi mlikuwepo.
Yaani anajifanya yupo na Muhammad kumbe ni msaliti tu.
umenifata kwenye post yangu nyingine tena? sasa mimi nina usaliti gani kwa simba? yaani kutahadharisha mazoezi ya wazi yasiwepo tena ni usaliti?
 
Jamani kila siku tunawaomba hayo mazoezi nendeni hata gymkhana au zungusheni fensi ya mabati kule Bunju hamtaki eti nyie viongozi ni wazungu

Utopolo mwaka huu wamesema liwalo na liwe lazima wachukue ubingwa na mimi naanza amini maneno yao kama huu uzungu feki hautakomeshwa itakuwa too late aisee

Halfu Said Tully ana cheo gani hapo simba kwa sasa? Kaulizeni watu aliosoma nao kama hawajui jamaa ni yanga lialia,na kila nikikumbuka kile kisa chake mwaka ule akiwa kamati ya utendaji eti kaporwa milioni 12 ya gate collection pale sinza nacheka sana, yaani mjumbe akiondoka na mapato ya mlangoni ya team akaenda kuibiwa Sinza leo namuona bado anahusika Simba.

Hivi mko serious kweli, mashabiki tuna mpango wa kuwasusia team lenu sasa maana mnazidiwa mbinu hata mkipewa ushauri hamtaki eti nyie ni wazungu wabongo
Kwa Kukusaidia tu ni kwamba nimesoma nae Said Tully Shighatini Secondary School ( 1993 mpaka 1994 ) kabla sijahama kwenda Kusoma nchi Jirani ya Uganda.

Tukiwa hapo Shighatini Secondary School wakati huo Mwalimu Mkuu wetu akiwa ni Marehemu Thomas Kavuye ( TK ) na Mwalimu wa Michezo akiwa ni Marehemu Mwalimu Maina kila tukicheza Mechi za Simba SC na Yanga SC huyu Said Tully wenu alikuwa si tu ni Mchezaji wa Team Yanga pale Shighatini Secondary School bali pia alikuwa ndiyo Nahodha wao.

Achilia mbali huko pia baada ya kuwa Marafiki na Said Tully kutokea Shuleni hapo Shighatini Secondary School pia nilikuja kuwa nae karibu Kimpira baada ya kuwa tunacheza Wote Ligi za Dar es Salaam na Yeye Timu yake ikiwa ni ya hapo Kwao katika hizo Flats za NHC zinazotazamana na Fire njia panda ya kuelekea Muhimbili Hospitali.

Na nyumba aliyokuwa akiishi Said Tully ilikuwa ikitizama na nyumba ya Kocha wake aliyemkuza Boniface Mkwasa ( Yanga SC Mwenzake ) na Mkwasa ndiyo alikuwa muda wote akienda nae pale Jangwani Kaunda ( Yanga Kids ) na Kumfundisha Soka na pia kumfanya azidi Kuipenda Yanga SC.

Siku nilipomuona na kusikia kuwa Said Tully kaibukia Simba SC tena hadi kupewa Cheo cha Ujumbe na kuwa karibu na Simba SC hasa kwa mambo ya ndani nilishtuka na Kuumia mno na nakumbuka nilionya hata hapa JamiiiForums ila kama Kawaida Watu wanapenda sana Kunichukia 'poa' GENTAMYCINE ila wangejua nina Tunu ( Shani ) gani kutoka Kwake Mwenyezi Mungu wangenishukuru.

Kuna Siku Mimi na Watu wangu Watatu tuliosoma nae Said Tully Shighatini Secondary School Peter ( yuko TBL Ofisi za Ubungo ), Hemed ( yuko TRA Makao Makuu ) na Mchezaji mwenzetu Shighatini Secondary School na baadae akaja Kuchezea Simba SC Wycliff Keto tulikutana naa ( Said Tully ) na Kumhoji na Jibu alilotupa ni kwamba 'tuuchune' kwani nae ana Familia tukabaki Kucheka tu na 'Kuuchuna' Kweli.

Said Tully ni Yanga SC tena 200% zote.
 
Kwa Kukusaidia tu ni kwamba nimesoma nae Said Tully Shighatini Secondary School ( 1993 mpaka 1994 ) kabla sijahama kwenda Kusoma nchi Jirani ya Uganda.

Tukiwa hapo Shighatini Secondary School wakati huo Mwalimu Mkuu wetu akiwa ni Marehemu Thomas Kavuye ( TK ) na Mwalimu wa Michezo akiwa ni Marehemu Mwalimu Maina kila tukicheza Mechi za Simba SC na Yanga SC huyu Said Tully wenu alikuwa si tu ni Mchezaji wa Team Yanga pale Shighatini Secondary School bali pia alikuwa ndiyo Nahodha wao.

Achilia mbali huko pia baada ya kuwa Marafiki na Said Tully kutokea Shuleni hapo Shighatini Secondary School pia nilikuja kuwa nae karibu Kimpira baada ya kuwa tunacheza Wote Ligi za Dar es Salaam na Yeye Timu yake ikiwa ni ya hapo Kwao katika hizo Flats za NHC zinazotazamana na Fire njia panda ya kuelekea Muhimbili Hospitali.

Na nyumba aliyokuwa akiishi Said Tully ilikuwa ikitizama na nyumba ya Kocha wake aliyemkuza Boniface Mkwasa ( Yanga SC Mwenzake ) na Mkwasa ndiyo alikuwa muda wote akienda nae pale Jangwani Kaunda ( Yanga Kids ) na Kumfundisha Soka na pia kumfanya azidi Kuipenda Yanga SC.

Siku nilipomuona na kusikia kuwa Said Tully kaibukia Simba SC tena hadi kupewa Cheo cha Ujumbe na kuwa karibu na Simba SC hasa kwa mambo ya ndani nilishtuka na Kuumia mno na nakumbuka nilionya hata hapa JamiiiForums ila kama Kawaida Watu wanapenda sana Kunichukia 'poa' GENTAMYCINE ila wangejua nina Tunu ( Shani ) gani kutoka Kwake Mwenyezi Mungu wangenishukuru.

Kuna Siku Mimi na Watu wangu Watatu tuliosoma nae Said Tully Shighatini Secondary School Peter ( yuko TBL Ofisi za Ubungo ), Hemed ( yuko TRA Makao Makuu ) na Mchezaji mwenzetu Shighatini Secondary School na baadae akaja Kuchezea Simba SC Wycliff Keto tulikutana naa ( Said Tully ) na Kumhoji na Jibu alilotupa ni kwamba 'tuuchune' kwani nae ana Familia tukabaki Kucheka tu na 'Kuuchuna' Kweli.

Said Tully ni Yanga SC tena 200% zote.
Duh popoma jamaa unajua mengi sana wycliff keto nilimuona akicheza AfC arusha nikiwa dogo kumbe we braza yangu , SAid Tully sijawahi mwelewega kabisa na kwa jinsi uzungu ulivyo wa kutosha pale simba

mwaka huu huyo Barbara watamuharibia left and right maana kwa mwendo huu wa kukataa kushikilia baadhi ya mambo yetu ya "kiswahili" tuwaachie tu utopolo ubingwa wao, wao wame stick na uswahili wao wakiweka pia na huo "uzungu"
 
Duh popoma jamaa unajua mengi sana wycliff keto nilimuona akicheza FAC arusha nikiwa dogo kumbe we braza yangu , SAid Tully sijawahi mwelewega kabisa na kwa jinsi uzungu ulivyo wa kutosha pale simba

mwaka huu huyo Barbara watamuharibia left and right maana kwa mwendo huu wa kukataa kushikilia baadhi ya mambo yetu ya "kiswahili" tuwaachie tu utopolo ubingwa wao, wao wame stick na uswahili wao wakiweka pia na huo "uzungu"
Tena Mimi ni Braza wako / wenu mno tu.

Kuhusu GENTAMYCINE kujua mengi no sehemu ya Kipawa nilichobarikiwa nacho na Mwenyezi Mungu na hii ni kutokana na tabia yangu ya kupenda Kujichanganya na Watu, Kusoma sana, kufuatilia Vyombo vya Habari mbalimbali na kuwa na Vyanzo vyangu vingi na aminia vya Taarifa huku Fani yangu ya Kitaaluma ikiwa nayo inanibeba hasa Mimi kuwa Well Informed 24/7 juu ya Masuala na Matukio.

Na ndiyo maana GENTAMYCINE ni 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' Kijana ( Mdogo wangu ) sawa?
 
Back
Top Bottom