Eneo kubwa la biashara linauzwa Goba

BATULUNGE

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2013
Posts
391
Reaction score
633
Eneo linauzwa lipo Goba njia nne barabara ya kuelekea Madale lina faa sana kwa ajili ya kujenga sheli ya mafuta au Kujenga maduka makubwa.

Eneo lina ukubwa wa sqm 4800 na ndani ya eneo kuna nyumba 1 imejengwa na fremu 2 za biashara
Bei yake ni Tsh 500 mil

Kwa mawasiliano zaidi piga 0656077998
 
Unafika mitaa ya Dizzy pub?
 
Kila Square metre moja ni Tshs 104,167......!????
 
Picha ya eneo husika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…