Eneo Kwa ajili ya ufugaji wa Samaki linauzwa

Wu-Ma

Senior Member
Joined
Dec 1, 2017
Posts
113
Reaction score
277
Eneo linauzwa Lina ukubwa wa ekari 3, ukihtaji zaidi waweza ongezewa, eneo lipo wilayan Sengerema kando kando ya ziwa , ni Mita 150 toka ziwani, eneo lipo umbali wa km 60 toka katikati ya mji wa Mwanza

Eneo Lina maji mda wote, picha nimezipiga Jana 22.08.2019







Contacts: 0753471878
0621073013
 
Kipindi cha mvua panakuwaga na hali gani hapo
 
Kipindi cha mvua panakuwaga na hali gani hapo
Kipindi cha mvua maji mengi Sana, unatakiwa kuweka kingo ndefu za Mabwawa , huwa hayavuki 1Meter above, na yana maintain throughout the year , kwenye kiangazi ndo kama hv yanapungua kdog, hata sasa kwenye maji humo watu wanavua Samaki, hasa kambale na sato make ni maeneo Samaki aina hyo wanapenda sana kuzaliana...
 
Eneo lililopo kando ya ziwa ni mali ya Jamhuri ni kosa kisheria.
Umbali toka ziwani hadi shambani ni futi ngapi?
 
Hao samaki wa kufugwa kwenye mabwawa hata maji ya kunywa tu yanawazidi ladha, nimeshaelewa kwanini tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa mbinguni maana si kwa hicho tunacholishwa.
 
Eneo lililopo kando ya ziwa ni mali ya Jamhuri ni kosa kisheria.
Umbali toka ziwani hadi shambani ni futi ngapi?
Mkuu eneo la serikali ni meter 60 kutoka maximum wave range, hapo ni meter 160 kuufikia ufukwe wa ziwa, yaan surplus ni meter 100
 
we jamaa vipi unuza ardhi oevu . kisheria hiki ni chanzo cha maji; na vyanzovya maji mali ya serikali ya JMT
 
we jamaa vipi unuza ardhi oevu . kisheria hiki ni chanzo cha maji; na vyanzovya maji mali ya serikali ya JMT
Mkuu mbna serikali ishatoa mwongozo , Kwa utaratibu wa serikali hlo sio Mali ya JMT..karbu upate chema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…