Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Dah.....Eneo la ekari moja linauzwa Kerege Wilaya ya Bagamoyo
Eneo ni tambarare na lipo 2.5 km kutoka barabara kuu ya Bagamoyo
Limezunguushiwa fence ya seng'enge
Bei 35milion(maongezi yapo)View attachment 1951918
Kwanini wasema hivyo Maalim Abu Dharr?Dah.....
Hali ni ngumu sana
Milioni thelathini na tano carihaHeka moja milioni 35 au 3.5 mkuu
Duh mbona bei juu tofauti na bagamoyo town kabisa aisee.Milioni thelathini na tano cariha
Bagamoyo mjini unapata heka nzima kwa 35m?Duh mbona bei juu tofauti na bagamoyo town kabisa aisee.
Kerege na Mapinga kiwanja cha 450sqm ni kati ya shilingi 5-6milion mkuu. Fanya utafitiKerege 35m ??? Mhhh
Kuna maji, umeme na ni tambarare. Very decent neighborhood.Hilo shamba lina miundo mbinu gani mingine mpaka liuzwe ghali hivi?
Sawa kiongoziSawa mkuu kweli ngoja nitafute hela walau sq 800 niweke kibanda changu huko
Nasemea viwanja vilivopimwa na huduma zote muhimu tofauti na Hilo shamba tu aisee, nafatiliaga sana huko loh. Why iwe expensive kwa tofauti kubwa hvoBagamoyo mjini unapata heka nzima kwa 35m?
ShangaaKerege 35m ??? Mhhh
Thamani ya kiwanja kwenye eneo lilipo shamba hili ni kati ya shilingi 12,000.0 hadi 18,000.0 per square meter. Hii ni ekari ya 70meters by 70 meters(proper meters na sio hatua) that means ni 4900sqmNasemea viwanja vilivopimwa na huduma zote muhimu tofauti na Hilo shamba tu aisee, nafatiliaga sana huko loh. Why iwe expensive kwa tofauti kubwa hvo
Naomba uniunganishe na huyo jirani yako tafadhaliThamani ya kiwanja kwenye eneo lilipo shamba hili ni kati ya shilingi 12,000.0 hadi 18,000.0 per square meter. Hii ni ekari ya 70meters by 70 meters(proper meters na sio hatua) that means ni 4900sqm
Fanya utafiti japo kidogo cariha. Mapinga na Kerege distance ya 2.5 km kutoka Bagamoyo Road mkono wa kulia kama unaenda Bagamoyo viwanja vya 20×20 ni kiasi gani? Tena eneo likiwa tambarare, bomba kubwa la maji limepita karibu na umeme upo
Kwa kukusaidia maeneo hayo 20×20 ni kati ya shilingi 5,000,000.0 hadi 8,000,000.0 kutegemea na location na jiografia ya kiwanja
Kwa bei ya kutupa kwa mfano shilingi 8000 per sqm nikiamua kukata viwanja nitapata zaidi ya hiyo. Na kuna jirani zangu wameuza maeneo yao kwa bei zaidi ya hiyo. Sema mimi sio muumini wa kupima viwanja vya 20×20. Huwa naona ni uharibifu wa ardhi na upangaji mbaya wa makazi
Nakutumia namba PMNaomba uniunganishe na huyo jirani yako tafadhali