Plot4Sale Eneo la acre1 linauzwa Kerege.

Plot4Sale Eneo la acre1 linauzwa Kerege.

Kwanini Kuna tabia ya kujipangia bei ya ardhi kwa unavyotaka. Nashauri kuwepo na sheria ya kupanga bei ya viwanja na kila kiwanja kilipiwe kodi wakati wa kuuzwa
 
Naomba uniunganishe na huyo jirani yako tafadhali

Kwanini Kuna tabia ya kujipangia bei ya ardhi kwa unavyotaka. Nashauri kuwepo na sheria ya kupanga bei ya viwanja na kila kiwanja kilipiwe kodi wakati wa kuuzwa
Donkey,

Biashara zote ni huria siku hizi isipokua chache na maalum kama mafuta (fuel), nishati na zingine chache

Serikali inaangalia na kusimamia matumizi ya ardhi na sio kuingilia na kupanga bei za viwanja na mashamba japo kweli kwa mujibu wa sheria ardh yote ya nchi hii ni mali ya serikali chini ya usimamizi wa Rais wa Jamhuri na tunaoitwa wamiliki tumepewa kama dhamana(amana) tu

Kwa maeneo mengi ya Mikoa ya Pwani na Dar bei ya soko ya ardhi inategemea factors kadhaa kama ukubwa wa ardhi husika, accessibility, jiografia ya eneo, neighborhood, umbali kutoka mjini nk

Bei ya soko ya ili eneo ninalozungumzia ni kuanzia 12,000.0 hadi 18,0000.0 kwa mita za mraba kutegemea na umbali kutoka barabara kuu ya Bagamoyo

Kuhusu kulipia kodi hiyo ni lazima mkuu wangu. Unapomiliki ardhi unalipa kodi na unapouza vilevile lazima kulipia kodi
 
Thamani ya kiwanja kwenye eneo lilipo shamba hili ni kati ya shilingi 12,000.0 hadi 18,000.0 per square meter. Hii ni ekari ya 70meters by 70 meters(proper meters na sio hatua) that means ni 4900sqm

Fanya utafiti japo kidogo cariha. Mapinga na Kerege distance ya 2.5 km kutoka Bagamoyo Road mkono wa kulia kama unaenda Bagamoyo viwanja vya 20×20 ni kiasi gani? Tena eneo likiwa tambarare, bomba kubwa la maji limepita karibu na umeme upo

Kwa kukusaidia maeneo hayo 20×20 ni kati ya shilingi 5,000,000.0 hadi 8,000,000.0 kutegemea na location na jiografia ya kiwanja

Kwa bei ya kutupa kwa mfano shilingi 8000 per sqm nikiamua kukata viwanja nitapata zaidi ya hiyo. Na kuna jirani zangu wameuza maeneo yao kwa bei zaidi ya hiyo. Sema mimi sio muumini wa kupima viwanja vya 20×20. Huwa naona ni uharibifu wa ardhi na upangaji mbaya wa makazi
Unauza kiwanja ishirini ni kuharibu tu ardhi na nyumba kubanana kama za Sinza
 
Huko Nako Kuna Mikasa Sana
Kuna Thread Aliyejenga Nyumba Huko Ikawa Tabu
Kuna Thread Aliyefuga Majoka Ikawa Tabu Kukamua Sumu
Haa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom