Eneo la kufugia samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) linakodishwa

Eneo la kufugia samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) linakodishwa

BwanaSamaki012

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
212
Reaction score
250
Eneo la ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) linakodishwa kwa gharama nafuu, eneo linapatikana Mwanza wilaya ya Ukerewe, ndani ya Ziwa Victoria.

Eneo hili lina sifa nzuri kwa muwekezaji anaetaka kuwekeza kwenye ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba.

Sifa za Eneo

1. Vibali Kamili: Eneo hili limepata vibali vyote muhimu kutoka kwa mamlaka husika, kuruhusu shughuli za ufugaji wa samaki. Hakuna kikwazo cha kisheria kinachozuia matumizi ya eneo hili kwa shughuli hizi.

2. Maji Safi: Eneo hili lina maji safi yanayofaa kwa ufugaji wa samaki.

3. Ulinzi wa Mazingira: Eneo limejitenga na lina kinga dhidi ya mawimbi makubwa na upepo mkali, kuhakikisha usalama wa vizimba vya samaki.

4. Ufikiaji Rahisi: Eneo hili linafika kwa urahisi, kuwezesha usafirishaji wa vifaa na samaki.

Gharama ya Kukodi
Gharama ya kukodi eneo hili ni TZS 800,000 kwa mwaka.

Kama ulikuwa unajiuliza wapi unaweza pata eneo ili uwekeze kwenye fursa hii mpya inayokuwa haraka, basi eneo ndio hili hapa linapatikana

Kwa maelezo zaidi na kuona eneo, tafadhali wasiliana nasi.
+255758779170

 
Ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba (cage farming) ni mbinu ya kufuga samaki ambapo samaki wanafugwa ndani ya vizimba vilivyowekwa kwenye maji ya asili kama vile bahari, maziwa, mito, au hifadhi za maji. Vizimba hivi vinatengenezwa kwa nyavu au vifaa vingine vya mesh, ambavyo huruhusu maji kupita huku vikizuia samaki kutoroka
 

Attachments

  • IMG-20240130-WA0126.jpg
    IMG-20240130-WA0126.jpg
    77.1 KB · Views: 28
  • IMG-20240130-WA0051.jpg
    IMG-20240130-WA0051.jpg
    532.4 KB · Views: 31
  • IMG-20240130-WA0049.jpg
    IMG-20240130-WA0049.jpg
    44.9 KB · Views: 28
  • IMG-20230408-WA0004.jpg
    IMG-20230408-WA0004.jpg
    58.2 KB · Views: 29
  • IMG-20230408-WA0006.jpg
    IMG-20230408-WA0006.jpg
    80.5 KB · Views: 29
Tafuta wachina au wale watanzania waliopewa vizimba vipya na mama Samia juzi juzi
Wachina wanamaeneo yao na wale watanzania mradi wao uliozinduliwa na Mama ni mradi wa kimkakati

Hii post inahusu eneo linalokodishwa kwa watu binafsi wanaotaka kuwekeza kwenye ufugaji samaki ila wanapitia ugumu kwenye kupata vibali
 
Eneo la ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) linakodishwa kwa gharama nafuu, eneo linapatikana Mwanza wilaya ya Ukerewe, ndani ya Ziwa Victoria.

Eneo hili lina sifa nzuri kwa muwekezaji anaetaka kuwekeza kwenye ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba.

Sifa za Eneo

1. Vibali Kamili: Eneo hili limepata vibali vyote muhimu kutoka kwa mamlaka husika, kuruhusu shughuli za ufugaji wa samaki. Hakuna kikwazo cha kisheria kinachozuia matumizi ya eneo hili kwa shughuli hizi.

2. Maji Safi: Eneo hili lina maji safi yanayofaa kwa ufugaji wa samaki.

3. Ulinzi wa Mazingira: Eneo limejitenga na lina kinga dhidi ya mawimbi makubwa na upepo mkali, kuhakikisha usalama wa vizimba vya samaki.

4. Ufikiaji Rahisi: Eneo hili linafika kwa urahisi, kuwezesha usafirishaji wa vifaa na samaki.

Gharama ya Kukodi
Gharama ya kukodi eneo hili ni TZS 800,000 kwa mwaka.

Kama ulikuwa unajiuliza wapi unaweza pata eneo ili uwekeze kwenye fursa hii mpya inayokuwa haraka, basi eneo ndio hili hapa linapatikana

Kwa maelezo zaidi na kuona eneo, tafadhali wasiliana nasi.
+255758779170

View attachment 3053064
Laki 8 kwa mwaka ?? Au sijaelewa ?
 
How could you?
Sasa hivi serikali inatoa vibari vya kufanya shughuli za ufugaji wa samaki ndani ya ziwa Victoria ili kuboost fisheries sector

Mchakato wa kupata kibali ni mrefu na gharama ni kubwa sio chini ya 10 milion

Mmiliki wa hili eneo yeye amepitia procedures zote hadi kupewa Kibali na kwa vile eneo ni kubwa sana awezi kulitumia lote ameona akodishe sehemu ya aneo Lake kwa watu wenye uhitaji
 
TAFIRI wameshafanya research na kujilizisha ufugaji wa aina hii ni salama kwa mazingira

Samaki wanakuwa under control hawainteract na samaki wa asili
Hizi ndio uchafuzi wa mazingira,napia uharibifu wa ziwa nendeni mkatoe haya makitu yenu ziwani mkawekee sehemu ingine ambapo ni sahihi . Tatizo hamtaki kujituma nyie ni Yes sio no
 
Hizi ndio uchafuzi wa mazingira,napia uharibifu wa ziwa nendeni mkatoe haya makitu yenu ziwani mkawekee sehemu ingine ambapo ni sahihi . Tatizo hamtaki kujituma nyie ni Yes sio no
Kila siku samaki wanazidi kupungua kwenye vyanzo vya asili kutokana na ongezeko la watu, uvuvi uliopitiliza (overfishing), mabadiliko ya tabia nchi n.k

Wakati huo huo mahitaji ya samaki yanazidi kuongezeka, njia pekee ya kukabiliana na hii changamoto ni kupitia ufugaji samaki, kupitia ufugaji samaki ndio tunaweza zalisha samaki wa kutosha kukidhi mahitaji yetu na pia itasaidia kupunguza fishing pressure

Tukisema tuache sisi Uganda na Kenya watafanya kwenye ziwa hili hili Victoria, muhimu ni kufanya kwa usahihi bila kuathiri mazingira
 
Kila siku samaki wanazidi kupungua kwenye vyanzo vya asili kutokana na ongezeko la watu, uvuvi uliopitiliza (overfishing), mabadiliko ya tabia nchi n.k

Wakati huo huo mahitaji ya samaki yanazidi kuongezeka, njia pekee ya kukabiliana na hii changamoto ni kupitia ufugaji samaki, kupitia ufugaji samaki ndio tunaweza zalisha samaki wa kutosha kukidhi mahitaji yetu na pia itasaidia kupunguza fishing pressure

Tukisema tuache sisi Uganda na Kenya watafanya kwenye ziwa hili hili Victoria, muhimu ni kufanya kwa usahihi bila kuathiri mazingira
Tukishakosa vivutio ndio mtajua mnapata wapi vingine
 
Tukishakosa vivutio ndio mtajua mnapata wapi vingine
Dada ndo maana ya vibali kutolewa ni gharama ya utaalamu kujiridhisha kuwa hakuna shido,ndo maana huwezi vikuta pale mwanza mjini nimaeneo ya nje huko.mkuu eneo wanaloenda watalii na shughuli zingine kama hizo za diving ,swiming,hotels ,special beaches ni chini ya asilimia 2 ya ziwa lote ,huko kwingine ziwan inaweza isha mwezi binadamu hajapaona.(natolea mfano ziwa tanganyika) unaweza safiri mwambao wa kilomita 30 bila kuona hata nyumba ,je huko wasiweke vizimba wajikomboe?
 
Dada ndo maana ya vibali kutolewa ni gharama ya utaalamu kujiridhisha kuwa hakuna shido,ndo maana huwezi vikuta pale mwanza mjini nimaeneo ya nje huko.mkuu eneo wanaloenda watalii na shughuli zingine kama hizo za diving ,swiming,hotels ,special beaches ni chini ya asilimia 2 ya ziwa lote ,huko kwingine ziwan inaweza isha mwezi binadamu hajapaona.(natolea mfano ziwa tanganyika) unaweza safiri mwambao wa kilomita 30 bila kuona hata nyumba ,je huko wasiweke vizimba wajikomboe?
Wazungu walifanya hivyoo wakaharibu kwao sasa wanabanana huku kwetu
 
Back
Top Bottom