Eneo la kufungua biashara ya huduma za ufundi simu, laptop, smart Tv nk kwa Dar kwa mwenye mtaji mdogo

Eneo la kufungua biashara ya huduma za ufundi simu, laptop, smart Tv nk kwa Dar kwa mwenye mtaji mdogo

Edsger wybe Dijkstra

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2019
Posts
244
Reaction score
491
Niaje wadau, ni wapi Dar panafaa kwa biashara ya ufundi tajwa hapo juu kwa mtu anaenza na hana mtaji wa kukodi frem sehemu zilizochangamka kama Kariakoo na zinginezo?

Yaani namaanisha sehemu yenye idadi kubwa ya watu na bei ya frem iwe chini sana angalau isizidi elfu 50 kwa mwezi, msaada mimi sio mwenyeji sana wa jji la Dar es salaam.
 
Location ni kutafuta mwenyewe mkuu mtu anaweza kwambia mahala hapa ni kuzuri ila ukaenda ukakuta hapakurizishi tafuta elfu 15 kama nauli zunguka na daladala ,Tandika, Mbagala, Mbande Kisewe, Chamazi, Kigamboni, Gongo la mboto, Buza, Kijichi, Tegeta, Ubungo, Mabibo, Mbezi Kimara kote uko kuna misongamano ya watu
 
Location ni kutafuta mwenyewe mkuu mtu anaweza kwambia mahala hapa ni kuzuri ila ukaenda ukakuta hapakurizishi tafuta elfu 15 kama nauli zunguka na daladala ,Tandika, Mbagala, Mbande kisewe, Chamazi, kigamboni, Gongo la mboto, Buza, kijichi, Tegeta, ubungo, Mabibo,Mbezi kimara kote uko kuna misongamano ya watu
Mizunguko hiyo 15K haitoshi
 
Back
Top Bottom