Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 510
- 871
Habarini wakuu,
Katika kujitafuta nimefanikiwa kununua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi.Nilikua naomba kama kuna mtu ana eneo sehem yenye mzunguko wa watu wengi au kama kulikua na mashine halaf ikatolewa anijuze ili niweze kuweka hii ya kwangu.
Napendelea maeneo ya Morogoro road kuanzia magomeni hadi kibamba na bagamoyo road kuanzia Moroco hadi Mapinga lengo ni kupata wateja wa jumla na rejareja
Location: Dar es Salaam
Katika kujitafuta nimefanikiwa kununua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi.Nilikua naomba kama kuna mtu ana eneo sehem yenye mzunguko wa watu wengi au kama kulikua na mashine halaf ikatolewa anijuze ili niweze kuweka hii ya kwangu.
Napendelea maeneo ya Morogoro road kuanzia magomeni hadi kibamba na bagamoyo road kuanzia Moroco hadi Mapinga lengo ni kupata wateja wa jumla na rejareja
Location: Dar es Salaam