Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 510
- 871
- Thread starter
- #21
Ni wap kamandaMashine yako ungeipeleka homboza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wap kamandaMashine yako ungeipeleka homboza
Hee? 😳Pole ya nn sasa??? Kwan nimepata hasara au?? Kwa taarifa yako mashine ninayo muda sana
Sina shida na pole yako kama huna eneo unaeza tu kuendelea na mambo mengineHee? 😳
Kwan kupewa pole ni mpaka upate hasara? We si ndio nilikuuliz comment #4 hapo ukajibu vzr tu sasa hiyo mipasho unaleta ya nn?
Uabarikiwe sana mkuu....Asante sana kwa ushauri naufanyia kaziHongera kwa kukamilisha hatua moja ya kumiliki mashine zako, hiyo kwanza ni hatua kubwa ya msingi sana.
Achana na hao wanaokukatisha tamaa au kubeza kumbe wao hawana uhakika hata na kula yao, ushauri wangu tafuta maeneo yenye masoko makubwa ya nafaka , then angalia namna gani unaweza ku install mashine zako karibu nayo. Manzese kuna masoko ya nafaka pale unaweza kwenda ku survey ili upate picha kamili.
Kila la kheri mpambanaji
Shukrn mkuuSina shida na pole yako kama huna eneo unaeza tu kuendelea na mambo mengine
Pesa haikai mkononi kazi Iko hapo sasa,tafuta mtoto ndo ujenge poa kaona isiwe tabu kanunua machine then locations,location then machine?.ingekwa awkward.Kwa nini huku tafuta location kwanza kisha ndio ukanunua hiyo mashine?
unahitaji eneo la size gani? kupata pembezoni mwa barabara hiyo uliyosema ni ishu sana.
Ila unaweza kupata mita kadhaa kutoka barabarni na hiyo biashara ya Kusaga nafaka inafaa zaidi uswahilini au eneo lenye mchanganyiko wa watu.
Siku hizi viwanda ni vingi sanakikubwa jichanganye hata sehemu yenye viwanda vingine jitofautishe na wengine utapata wateja.
Kama unataka kuuza Jumla tengeneza connection na watu wa maduka ya rejareja uwe unawasambazia tu ni rahisi sana mkuu.
Niliwahi kufanya hii biashara (nilikuwa nafany masoko ) ila nilishaacha udalali ningekusaidia eneo zuri maeneo ya Morogoro Road ila nipo bize sana kwa Kipindi hiki
Safi kamandaPesa haikai mkononi kazi Iko hapo sasa,tafuta mtoto ndo ujenge poa kaona isiwe tabu kanunua machine then locations,location then machine?.ingekwa awkward.
unafanyia wapi ili nione kama naweza kukutafutia hukoMkuu unaweza nitafutia wateja wa jumla kwenye unga wa sembe?
Hongera mkuuHabarini wakuu,
Katika kujitafuta nimefanikiwa kununua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi.Nilikua naomba kama kuna mtu ana eneo sehem yenye mzunguko wa watu wengi au kama kulikua na mashine halaf ikatolewa anijuze ili niweze kuweka hii ya kwangu.
Napendelea maeneo ya Morogoro road kuanzia magomeni hadi kibamba na bagamoyo road kuanzia Moroco hadi Mapinga lengo ni kupata wateja wa jumla na rejareja
Location: Dar es Salaam
Bei?Mashine nilinunua AUTOMACHINE posta