maridadioh
Member
- Feb 19, 2015
- 47
- 20
Habari zenu wadau.
Msaada na mawazo, kuhusu pendekezo la maeneo ya viwanda ndani ya DSM kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kusafisha na kupaki maji ya kopo kama mkilimanjaro, uhai n.k.
Kwa ajili ya kuuza maji katikati ya jiji, maomba pendekezo la eneo lisiwe la bei kubwa xna maana bado mjasiriamali mdogo na eneo la viwandani kuepuka kusumbuliwa taasisi kama TFDA na wengneo.
Msaada wenu please.
Msaada na mawazo, kuhusu pendekezo la maeneo ya viwanda ndani ya DSM kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kusafisha na kupaki maji ya kopo kama mkilimanjaro, uhai n.k.
Kwa ajili ya kuuza maji katikati ya jiji, maomba pendekezo la eneo lisiwe la bei kubwa xna maana bado mjasiriamali mdogo na eneo la viwandani kuepuka kusumbuliwa taasisi kama TFDA na wengneo.
Msaada wenu please.