maridadioh
Member
- Feb 19, 2015
- 47
- 20
Maji ya KOPO?
Habari zenu wadau,msaada na mawazo kuhusu pendekezo la maeneo ya viwanda ndani ya DSM kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kusafisha na kupaki maji ya kopo kama mkilimanjaro, uhai n.k. kwa ajili ya kuuza maji katikati ya jiji, maomba pendekezo la eneo lisiwe la bei kubwa xna maana bado mjasiriamali mdogo na eneo la viwandani kuepuka kusumbuliwa taasisi kama TFDA na wengneo.
Habari zenu wadau,msaada na mawazo kuhusu pendekezo la maeneo ya viwanda ndani ya DSM kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kusafisha na kupaki maji ya kopo kama mkilimanjaro, uhai n.k. kwa ajili ya kuuza maji katikati ya jiji, maomba pendekezo la eneo lisiwe la bei kubwa xna maana bado mjasiriamali mdogo na eneo la viwandani kuepuka kusumbuliwa taasisi kama TFDA na wengneo.
Wadau tupo pamoja, apo namaanisha kuzalisha maji ya chupa kama kilimanja,uhai n.k na eneo kama mjasiriamali nalenga kupunguza transport cost na pia kwa sababu bdo mjasiriamali mdogo nalenga lisilo la ghali xna
Nenda kigamboni
kama unawakwepa TFDA inaonekana utatunywesha sumu!Habari zenu wadau.
Msaada na mawazo, kuhusu pendekezo la maeneo ya viwanda ndani ya DSM kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kusafisha na kupaki maji ya kopo kama mkilimanjaro, uhai n.k.
Kwa ajili ya kuuza maji katikati ya jiji, maomba pendekezo la eneo lisiwe la bei kubwa xna maana bado mjasiriamali mdogo na eneo la viwandani kuepuka kusumbuliwa taasisi kama TFDA na wengneo.
Msaada wenu please.
kama unawakwepa TFDA inaonekana utatunywesha sumu!
Chanika kupo poa sana usafiri hausumbui
.