Eneo la Uwanja wa Taifa halifai kwa 'derby' ya kesho

Eneo la Uwanja wa Taifa halifai kwa 'derby' ya kesho

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Niko naangalia mechi ya Tanzania U23 dhidi ya Nigeria. Kwakweli uwanja uko ovyo sana. Nyasi zimenyofoka nyofoka na kurundikana kama vifurushi. Mpira hauchezeki kabisa. Kwa hali ilivyo tutarajie Derby ya butua butua hiyo kesho.

Meneja wa uwanja ajitathimini.
 
Jengeni viwanja vyenu sasa mnategemea uwanja wa Serikali ili mchezee ligi zenu za hovyo?
 
atuwezi kutunza vitu,tumeshindwa kutunza reli ya kati hata sgr itachakaa iishe kwa muda mchache sana.
 
Kuna uwezekano mkubwa hiyo pitch ikajengewa miundombinu ya kufunikwa wakati wa mvua..hilo linawezekana kabisa tatizo ni huo ubunifu na uvivu tu

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wako bize na mapendekezo ya tume ya nini sijui...! Hakuna anaejali mambo ya uwanja. Nchi nzima tunashindwa kutunza nyasi zenye eneo la ekari moja? We are not serious.
 
Haya ni maneno kabla ya mechi!

Baada ya mechi sasa; kocha fulani hafai! Viongozi wetu hawafai! Timu fulani imehonga waamuzi! Na bla bla nyingine.
Ni maneno ya huyu jamaa?
FB_IMG_1666455599985.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom