Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Kwa akili yako huo uwanja kama hautatumika na hivyo vilabu utakuwa unajiendeshaje kama unaelewa maana ya sustainability? Au ndio unataka uwe unafanyikia shuguli za kisiasa na misiba ya kitaifa tu?Jengeni viwanja vyenu sasa mnategemea uwanja wa Serikali ili mchezee ligi zenu za hovyo?