Eneo la Uwanja wa Taifa halifai kwa 'derby' ya kesho

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Niko naangalia mechi ya Tanzania U23 dhidi ya Nigeria. Kwakweli uwanja uko ovyo sana. Nyasi zimenyofoka nyofoka na kurundikana kama vifurushi. Mpira hauchezeki kabisa. Kwa hali ilivyo tutarajie Derby ya butua butua hiyo kesho.

Meneja wa uwanja ajitathimini.
 
Jengeni viwanja vyenu sasa mnategemea uwanja wa Serikali ili mchezee ligi zenu za hovyo?
 
Hali ya hewa ya Dar ni mvua kiasi, na hakuna jua kabisa kiasi cha kukausha ardhi...
Hilo tatizo sio la Leo hata mechi ya Simba na waangola pitch ilikuwa mbovu halafu saa moja kabla ya mechi wanamwagia maji matokeo uwanja unateleza wachezaji wanaanguka ovyo
 
atuwezi kutunza vitu,tumeshindwa kutunza reli ya kati hata sgr itachakaa iishe kwa muda mchache sana.
 
Kuna uwezekano mkubwa hiyo pitch ikajengewa miundombinu ya kufunikwa wakati wa mvua..hilo linawezekana kabisa tatizo ni huo ubunifu na uvivu tu

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kuna uwezekano mkubwa hiyo pitch ikajengewa miundombinu ya kufunikwa wakati wa mvua..hilo linawezekana kabisa tatizo ni huo ubunifu na uvivu tu

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wako bize na mapendekezo ya tume ya nini sijui...! Hakuna anaejali mambo ya uwanja. Nchi nzima tunashindwa kutunza nyasi zenye eneo la ekari moja? We are not serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…