Vawulence JF-Expert Member Joined Jan 4, 2009 Posts 1,930 Reaction score 2,118 Oct 23, 2022 #21 HAYA LAND said: Jengeni viwanja vyenu sasa mnategemea uwanja wa Serikali ili mchezee ligi zenu za hovyo? Click to expand... Kwa akili yako huo uwanja kama hautatumika na hivyo vilabu utakuwa unajiendeshaje kama unaelewa maana ya sustainability? Au ndio unataka uwe unafanyikia shuguli za kisiasa na misiba ya kitaifa tu?
HAYA LAND said: Jengeni viwanja vyenu sasa mnategemea uwanja wa Serikali ili mchezee ligi zenu za hovyo? Click to expand... Kwa akili yako huo uwanja kama hautatumika na hivyo vilabu utakuwa unajiendeshaje kama unaelewa maana ya sustainability? Au ndio unataka uwe unafanyikia shuguli za kisiasa na misiba ya kitaifa tu?
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Oct 23, 2022 #22 Tate Mkuu said: Haya ni maneno kabla ya mechi! Baada ya mechi sasa; kocha fulani hafai! Viongozi wetu hawafai! Timu fulani imehonga waamuzi! Na bla bla nyingine. Click to expand... Leo Nabi kibarua kinakoma hapo Utopolo
Tate Mkuu said: Haya ni maneno kabla ya mechi! Baada ya mechi sasa; kocha fulani hafai! Viongozi wetu hawafai! Timu fulani imehonga waamuzi! Na bla bla nyingine. Click to expand... Leo Nabi kibarua kinakoma hapo Utopolo