Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Mnaosema eka 6, 7 na 5 mnayapata wapi majibu!? Yaani 70x 70 ikupe eka Moja halafu 250x120 ikupe eka 6!?!??
Simple n Clear, katika hivyo vipimo vyako angalia zimo 140 ngapi itakayobaki ni eka 3 naa hiyo itakayobaki.
Naamini hesabu zilikupa tabu saana enzi zako
Jibu kwa makadilio ni acre 6.. au hectares 2.4