sawa ukipata mteja nishtue nije niwe shahidiMilioni 20
mkuu hapa umeniacha... ina maana kiwanja kina weza kikawa 2*30=60 au 3*20=60 mkuu ufafanuzi kidogoSalaam humu ndani
Nawaletea eneo lenye nyumba ambayo imefikia kwenye linta imebaki kupiga kenchi tu eneo ni kituo kipya loliondo kibaha maili moja ukubwa Wa eneo ni square meter 25x20 bei yake ni milioni 20
Kwa mawasiliano 0658183618
Pia Kiwanja kinauzwa kipo Jirani Na Kifuru stand ya kwenda mbezi vipo viwili jumla square meter 60 bei milioni 16
Milioni 20sh ngapi
Ha uzi nyumba ana uzi eneoMbona gofu sana mkuu
Soma maelezo yake vzr.Ha uzi nyumba ana uzi eneo
Kwa upande Wa viwanja vilivyopo kifuru-tabata ni viwili vinauzwa Kwa pamoja kimoja kipo mbele barabarani kingine nyuma take cha mbele ni 20x20 plus 5 meter ziada Na cha nyuma kimepinda marefu upande mmoja ni 30 meter mwingine 28 mapana 27 upande mwingine 22 metermkuu hapa umeniacha... ina maana kiwanja kina weza kikawa 2*30=60 au 3*20=60 mkuu ufafanuzi kidogo