Habari wana JF nauza eneo lipo michese dodoma KM 6 kutoka soko la majengo miundo mbinu iko mizuri.
ukubwa wa eneo ni sqm 2162 au tulio zoea hatua ni miguu 57 kwa 52.
bei milioni 4
karibu PM wanunuzi.
Tangazo safi sana ila ongezea na ka picha kidogo, elezea miundo mbinu ipi ipo hapo na hasa hasa barabara kuu, Michesse ni wapi au ni mwelekeo upi toka Dodoma mjini. je maelewano ya malipo yapo au hakuna? kwa kifupi wengine tupo huku Nangwanda lakini tunakihitaji kiwanja hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.