WINCH
Member
- May 3, 2016
- 71
- 23
Habari za asubuhi,
Eneo Heka 2 linauzwa, imejengwa nyumba ambayo yenye vyumba viwili vya kulala na sebule pamoja na bafu ndani (haijaezekwa).
Mahali: Kikongo - km 9 kutoka Mlandizi stand ukiwa unaenda Mzenga
Bei: Milion 8.0 (Neg.)
Eneo linafaa kwa ufugaji na kulima bustan au mazao yoyote yale. Bwawa liko Mita 300 halikauki.
Lina miti ya mikorosho saba.
Kama uko interested nipm
Ahsanteni.
Eneo Heka 2 linauzwa, imejengwa nyumba ambayo yenye vyumba viwili vya kulala na sebule pamoja na bafu ndani (haijaezekwa).
Mahali: Kikongo - km 9 kutoka Mlandizi stand ukiwa unaenda Mzenga
Bei: Milion 8.0 (Neg.)
Eneo linafaa kwa ufugaji na kulima bustan au mazao yoyote yale. Bwawa liko Mita 300 halikauki.
Lina miti ya mikorosho saba.
Kama uko interested nipm
Ahsanteni.