Eneo linauzwa Tabata Bima

Eneo linauzwa Tabata Bima

radhiya

Senior Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
118
Reaction score
213
Eneo lenye Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Tabata Bima, Dar es salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.

Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.

Ukubwa wa Eneo: Sqm 400.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.

Bei: Milioni 125. Mazungumzo yanaruhusiwa.

Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.

Mawasiliano:
0784 829565
0767 833345
@prathlimited
 

Attachments

  • 1736219090778.png
    1736219090778.png
    1.6 MB · Views: 6
Wale wazee wa kupenda mapombe, changamkieni fursa hiyo
 
Back
Top Bottom