nestory masunga
Member
- Jan 20, 2017
- 59
- 26
Aende nabii Tito akatoe neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hio camden ssHapa bongo dsm ni kama kitongoji kipi?
Yan marekani na uwezo woote ule, wizi wote ule, kujitia kumwaga mihela nchi zingine imeshindwa kumwaga mahela hapo kwa kuvunja na kujenga majumba mazuri, kuwekeza mitaji kwa watu hapo waendelee!
usisahau wazungu na mambo ya dini sio sanaAende nabii Tito akatoe neno
mbona wewe unaenda ridhisha waschana wa jirani wakati mkeo humfikishiSasa mbona wanaenda nchi za wengine kutatua migogoro.......wakati wanayo ya kwao......
[emoji2] [emoji2]nikikosa mchongo wa unabii, nakuwa mpiga ramli fortune teller
Kwan apo Kuna tofaut na posta mjin kwenu?Sasa mbona wanaenda nchi za wengine kutatua migogoro.......wakati wanayo ya kwao......
Hizo sehemu lazima black America watakuwa wengi,nigers wengi ni uncivilized na ni primitive sana kama wazulu,,muulize lemutuz atakwambia anawajua sana nigersSasa mbona wanaenda nchi za wengine kutatua migogoro.......wakati wanayo ya kwao......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa bwanaaTuna test risasi kwangu ndio tunamuuzia mteja dawa ya kinga dhidi ya risasi
hakuna tofautiKwan apo Kuna tofaut na posta mjin kwenu?
ndio Detroit ni jimbo lililokuwa na viwanda vingi kuliko jimbo lolote ila kwa sasa ni kama tanga tu, vyote vimebaki magofuMkuu unaifahamu Detroit?
yaani hapo ndio kitovu haswa cha watu maskin ndani ya America. hapo ni choka mbaya kabisa kabisa, apartment ni kama dola 1000,ambapo ni kama milion mbili na ushee kwa mwezi mmojaIla wenzetu wametuacha mbali...hapo ndo maskini wa kutupwa?
Wazungu wanavyoenda kujifanya wanatatua mambo, sio kweli wanatatua wana malengo yao. Kufanya uchunguzi na Research ya sehemu usikaSasa mbona wanaenda nchi za wengine kutatua migogoro.......wakati wanayo ya kwao......