falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
-
- #41
karibuebwana eeeeeh nimeipenda hii
ukweli mchungu[emoji41][emoji41][emoji41]Ila hapo mnapoita masikini kuzuri kuliko makao makuu ya mikoa mingi tu TZ
Hakuna maslahi hapo? Kuna madi?Sasa mbona wanaenda nchi za wengine kutatua migogoro.......wakati wanayo ya kwao......
Ndo. Masikini hao.wakati hapo. Kwetu matajiri ndo wanalipa hizo kodiyaani hapo ndio kitovu haswa cha watu maskin ndani ya America. hapo ni choka mbaya kabisa kabisa, apartment ni kama dola 1000,ambapo ni kama milion mbili na ushee kwa mwezi mmoja