House4Sale Eneo na boma lizauzwa Kibaha kwa mfipa mil. 18

House4Sale Eneo na boma lizauzwa Kibaha kwa mfipa mil. 18

Collinsteve

Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
88
Reaction score
48
Eneo liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. ya simbani . Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining.

Nimeezeka vyumba 2 na vyoo vyake tayari vinatumika, lina tank ya chini ya kuvunia maji lita elfu 3000,
umeme nguzo mbili, maji ni mita 500 KM 1 kutoka main road.

Nataka milioni 18,

0685223804

IMG_20230309_160927_9.jpg
 
Back
Top Bottom