Eng. Hersi anatumia Yanga kujijenga yeye na siyo kuijenga Yanga

Eng. Hersi anatumia Yanga kujijenga yeye na siyo kuijenga Yanga

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Katumia platform ya Yanga kujulikana CAF, kuongea na vilabu vikubwa vya Ulaya, kukutana na wachezaji wakubwa, n.k, lkn Yanga inazidi kudorora na kuporomoka.

Yanga ni ya kushindwa kuvuka makundi kweli? Ndiyo! Yanga haitavuka makundi, kwasabb mchezo ujao atakuwa DR Congo kucheza na TP Mazembe.

Unadhani atashinda mchezo huo? Na akisuluhu ama kupoteza, biashara imeishia.

Hata wachambuzi wa South Africa wanasema timu zitakazoingia robo ni MC Algiers na Al Hilaly ktk kundi hilo.

Eng ni mjanja mjanja tu. Yaani anasajili makapi ya Simba halafu anatudanganya atachukuwa kombe la klabu bingwa Africa!
 
Katumia platform ya Yanga kujulikana CAF, kuongea na vilabu vijubwa vya Ulaya, kukutana na wachezaji wakubwa, n.k, lkn Yanga inazidi kudorora na kuporomoka.

Yanga ni ya kushindwa kuvuka makundi kweli? Ndiyo! Yanga haitavuka makundi, kwasabb mchezo ujao atakuwa DR Congo kucheza na TP Mazembe.

Unadhani atashinda mchezo huo? Na akisuluhu ama kupoteza, biashara imeishia.

Hata wachambuzi wa South Africa wanasema timu zitakazoingia robo ni MC Algiers na Al Hilaly ktk kundi hilo.

Eng ni mjanja mjanja tu. Yaani anasajili makapi ya Simba halafu anatudanganya atachukuwa kombe la klabu bingwa Africa!!
Yanga haikujipanga kwasababu ya usajili mbovu na muundo wa utawala ambao haujielewi

Poor organization chart
 
Nuhunga mkono hoja kuna wachezaji wazawa nahisi anataka kuwatumia kisiasa ndo maana anawakomalia wabaki hasa wanaotokea moro karibu na Dom akina kibabage, kibwana,job!
Kuna wachezaji hawafai kuchezea yanga! Mwamnyeto,nkane,kibabage,kibwana! Ila sijui kwa nn anawakomal8a
 
Mmeanza kumponda sasa Rais wenu...
Wanayanga kuweni wavumilivu kama sisi Simba jmn
 
Katumia platform ya Yanga kujulikana CAF, kuongea na vilabu vijubwa vya Ulaya, kukutana na wachezaji wakubwa, n.k, lkn Yanga inazidi kudorora na kuporomoka.

Yanga ni ya kushindwa kuvuka makundi kweli? Ndiyo! Yanga haitavuka makundi, kwasabb mchezo ujao atakuwa DR Congo kucheza na TP Mazembe.

Unadhani atashinda mchezo huo? Na akisuluhu ama kupoteza, biashara imeishia.

Hata wachambuzi wa South Africa wanasema timu zitakazoingia robo ni MC Algiers na Al Hilaly ktk kundi hilo.

Eng ni mjanja mjanja tu. Yaani anasajili makapi ya Simba halafu anatudanganya atachukuwa kombe la klabu bingwa Africa!!
Bado hamjasema mpaka mnene kiyunani na kiethini,mmekuwa mpechempeche
 
Katumia platform ya Yanga kujulikana CAF, kuongea na vilabu vijubwa vya Ulaya, kukutana na wachezaji wakubwa, n.k, lkn Yanga inazidi kudorora na kuporomoka.

Yanga ni ya kushindwa kuvuka makundi kweli? Ndiyo! Yanga haitavuka makundi, kwasabb mchezo ujao atakuwa DR Congo kucheza na TP Mazembe.

Unadhani atashinda mchezo huo? Na akisuluhu ama kupoteza, biashara imeishia.

Hata wachambuzi wa South Africa wanasema timu zitakazoingia robo ni MC Algiers na Al Hilaly ktk kundi hilo.

Eng ni mjanja mjanja tu. Yaani anasajili makapi ya Simba halafu anatudanganya atachukuwa kombe la klabu bingwa Africa!!
Mpira tusiende nao hivyo. Hata hapo bado Yanga inaweza kwenda robo fainali kama ilivyokuwa kwa Simba baada ya kupoteza ugenini na Horoya kisha kupigwa nyumbani na Raja.

Ila kazi kubwa inatakiwa ifanyike na kuacha upuuzi wa kuiacha timu kwa mtu mmoja kama mali yake binafsi. Kuwe na watu kazi kadhaa warudishe ari ya timu ambayo sasa imetoweka.

Wachezaji wanacheza na hofu, pia wana hali ya kujitazama kama hawako sawa, na ni wazi kuondoka kwa Gamondi kumewapa hali ya kuchanyikiwa.

Nasisitiza, Yanga bado ina nafasi, na ikiamua inaweza kwenda robo fainali kibabe kabisa.

Ova
 
Mpira tusiende nao hivyo. Hata hapo bado Yanga inaweza kwenda robo fainali kama ilivyokuwa kwa Simba baada ya kupoteza ugenini na Horoya kisha kupigwa nyumbani na Raja.

Ila kazi kubwa inatakiwa ifanyike na kuacha upuuzi wa kuiacha timu kwa mtu mmoja kama mali yake binafsi. Kuwe na watu kazi kadhaa warudishe ari ya timu ambayo sasa imetoweka.

Wachezaji wanacheza na hofu, pia wana hali ya kujitazama kama hawako sawa, na ni wazi kuondoka kwa Gamondi kumewapa hali ya kuchanyikiwa.

Nasisitiza, Yanga bado ina nafasi, na ikiamua inaweza kwenda robo fainali kibabe kabisa.

Ova
Next mechi ni dhidi ya mazembe pale congo, mkikandwa bye bye 👋
 
Gd5WQ7UX0AA8XNz.jpeg
 
Back
Top Bottom