Kila mtu anatoa alicho nacho pia ni vizuri ungekua mfano kwa wengine ukatoe hizo facilities watu waige kwakoHizo fedha za tiketi angewanunulia facilities za kuwasaidia kujiingizia kipato katika shughuli zao za kila.siku.
Pesa sio kila kitu aisee akili pia ni muhimu.
Jikite kwenye mada, mwanaume kujadili tupu za wanaume wenzako ni dalili mbayaUtimamu ninao ila akili sina.
Ushavaa msuli ukiwa mtupu au bado una weitia siku ya mechi?
Viongozi wenu ndio waliosema msivae kitu kwenye hiyo misuli.Jikite kwenye mada, mwanaume kujadili tupu za wanaume wenzako ni dalili mbaya
Mkuu wanaweza kuziuza.Duuh hii nayo ni kali labda hizo tiketi watawapa ndugu zao wenye kuona
Hata New JF web browser imeboreshwa, IPO option ya wenye huoni hafifu.Wapo wenye uoni hafifu sio kwamba wote ambao hawaoni kabisa Ila wote wamejumuishwa kwenye kundi moja la wasioona
Mtaje huyo kiongozi.Viongozi wenu ndio waliosema msivae kitu kwenye hiyo misuli.
Tukiwaambia mnaviongozi wahuni mnatuita haters
Ukimwambia kipofu njoo tuangalie TV utaonekana hamnazokwamba walemavu hawana mahitaji mengine zaidi ya pesa?
Huu ni upumbavu,usalama kwanza mdogoVitu vingine ni upumbavu, mtu haoni anafata nini uwanjani? Likitokea jambo la dharura?
Ulifanya hivyo maana yake unamdhihaki
ManaraMtaje huyo kiongozi.
Aliyekuambia Manara ni kiongozi nani we jamaa!!Manara
Utakuwa mtumwa wewe kuwaza wazungu.Wangekua wazungu mngesifu
Sawa, Mangungu ndio kiongozi smartViongozi wenu ndio waliosema msivae kitu kwenye hiyo misuli.
Tukiwaambia mnaviongozi wahuni mnatuita haters