ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wewe ndio hamnazo kitu kama haujui bora uulize kuliko kujifanya unajua
Ni kweli ndio maana tukawapiga 5Wenye akili ni wawili tu
Unajiita DR na huna akili! hao ndio watakua wa kwanza?Dah Tanzania Ni nchi isiyo isha vituko [emoji3][emoji3]..
Sasa mtu haoni unampa Tiketi ya kwenda kuangalia mpira...
Hii ni sawa na kumnunulia Redio au sub woofer Kiziwi..
Halafu unajisifu...
Hiyo timu wenye akili.ni wawili tu.Kila mtu anatoa alicho nacho pia ni vizuri ungekua mfano kwa wengine ukatoe hizo facilities watu waige kwako
Iringa kama sikosei kulikuwa na shabiki mmoja wa mpira mwenye ulemavu wa kutoona na alikuwa hakosi mechi za timu ya Lipuli. Alikuwa anaandamana na jamaa mmoja ambaye alikuwa kazi yake ni kumwezea mpira unavyokwenda kwa mdomo.Wameomba wenyewe hata mm nimeshangaa lkn kumbe nao wanahisia yakujumuishwa
Naomba kurudia Tena kama hivyo ndivyo iliyokuwa bhasi nathibitisha kauli ya Wenye akili ni wawili tu Sunday Manara na MwishimiwaUnajiita DR na huna akili! hao ndio watakua wa kwanza?
sija kuuliza idadi ya watu wenye akili nmekwambia hata wewe unaruhusiwa kutoa hicho unacho ona wana stahili kupewaHiyo timu wenye akili.ni wawili tu.
Kasome jamaa anaitwa Ronnie Wilkes hauta pata maswali mengi, labda kama umeamua kukaza shingoUnaijua hii kitu nimeirudia kusoma zaidi ya mara Tano nikajua mimi ndo nimekosea Tafsiri..
Nikasema hapana ngoja niangalia comments..
Lakini Naomba nicomfirm kuwa wenye AKILI ni wawili tu Sunday manara na Mweshimiwa Rais Mstaafu
Ni Africa pekee, akili ikizidi sana unakua ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ah KMMK Wabongo [emoji119]
mbona mipasho ya kike? ukitaka pasuka ndio nini?Naomba kurudia Tena kama hivyo ndivyo iliyokuwa bhasi nathibitisha kauli ya Wenye akili ni wawili tu Sunday Manara na Mwishimiwa
Ukitaka pasuka [emoji3][emoji3]
Maana mmezidi Ubahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Dah.
Awanunulie radio walemavu wasiosikia
Mkuu umechukulia sana serious ishu ya utani wa jadi 😅😅🤣🤣🤣 unafikir sijui au sitambui mashabiki wnye ulemavuKasome jamaa anaitwa Ronnie Wilkes hauta pata maswali mengi, labda kama umeamua kukaza shingo
Manara ni msemaji wa YangaAliyekuambia Manara ni kiongozi nani we jamaa!!
Yanga viongozi ni President,Vice na wale wajumbe watano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu wa gu hakunifundisha kuwa kumbe kuna herufi zina jinsia bhasi itabidi nirudi..Nikafundishwe Gender za kila herufi na Gender sentencesmbona mipasho ya kike? ukitaka pasuka ndio nini?
Sasa hawa hawaoni wakiingia wataenda kushuhudia nini? Offer nyingine ni changamoto sana
Msitumie upendeleo wenu wa kuwa wakamilifu mkajisahau na kuleta dhihaka kwa wengine wenye ulemavu. Leo hii ukipofuka unaacha kushabikia kila kitu duniani kisa huoni?Duuh hii nayo ni kali labda hizo tiketi watawapa ndugu zao wenye kuona