Eng. Hersi bingwa wa kuvamia shughuli bila mwaliko

Eng. Hersi bingwa wa kuvamia shughuli bila mwaliko

Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kitu cha kawaida kakutane wewe na huyo Mbappe.
 
Leo tunavamia wapi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ambaye alivamia hakualikwa anapewa warmly welcome katika mazingira kama haya. Acheni wivu wa kike asee mambo mengine ni kujishushia heshima hata kama tunatumia majina feki.
1704376788938.jpg
 
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe hujaona mwaliko umewekwa hadharani?
 
Vilabu vikubwa kama Barcelona viwanja vyao pia vinatumika kwa utalii ,watu wanaruhusiwa kwenda kuangalia mafanikio ya timu, na historia. Kwahiyo tuliza huo mshono

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tuoneshe basi picha yako umeambiwa ambayo na wewe umepiga na hao ma Barcelona. Umesema ni rahisi kwa kila mtu sawa tunakubali ila tuoneshe basi na yako, mbona simple tu
 
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani shida iko wapi? Utakuja ufe bure na ugonjwa wa presha kwa sababu tu ya mambo kama haya.
 
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Persuasion and networking skills is one of personal entrepreneurial competences, (trait) of successful entrepreneurs, Ni kanuni ama tabia mojawapo ya wajasiriamali waliofanikiwa duniani kama huna hata tabia moja huwezi kufanya biashara, nyingine inaitwa initiative, is to do something without being told or forced by event, ni kufanya jambo bila kuambiwa ama kusumwa na mtu yoyote yule,(kuthubutu), nyingine ni opportunity seeker,(kuzitafuta fursa), mjasiriamali ni lazima uzitafute na kuzifuata fursa ili ufanikiwe kwenye maisha na biashara, katu fursa haziwezi kukufuata hapo ulipo, usemi ufuatao itakufaa zaidi, shallow minds discuss events,
 
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mnatufanya hadi sisi mashabiki wa staarabu wa Simba tuonekane ma bwege.

Hichi ulichoandika ni ubwege na wivu wakike.
 
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu utakuua wewe, tafuta pesa ukapige picha Paris, London, California.
 
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kukurupuka wewe.
 
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,

Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.

Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.

Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hii imewauma,je siku akipata chance ya Rais ya FIFA ya kumgeukia Hersi katikati ya watu wa tano kama ilivyo kuwa kwa Jaribu Tena na kumwambia "Yanga anaupiga mwingi.....",si mtatukana page nzima.
 
Kama ni rahisi na inawezekana kwa kila mtu
Hebu onyesha picha yako ukiwa nA Mbappe, Hakim
Wewe umeshiba chai chapati mbili unaanza kuandika upupu na kujichukulia uko sawa na Hersi

Hivi utaingia dressing room za PSG upige picha na walw mastaa bila kualikwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Baelezee
 
Hersi mtoto wa mjini...anajua kutafuta fursa ...iwe Kwa kualikwa au Kwa Ku lazimisha ...la msingi kafanikisha
Kilimanjaro, Tanzania. Niliona anawalazimisha Naona wasingemshiti angeendelea na goli tano. Anaaibisha Kwa kweli hata kama ni kutafuta mafanikio lakini sio kuvamia shughuli na watu.
 
Back
Top Bottom