Eng. Hersi Said acha kuwa na kiburi

Eng. Hersi Said acha kuwa na kiburi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Mimi ni mwanachama wa Yanga mwenye kadi kabisa ya uwanachama.

Watu wengi wanajiunga na kujiandikisha kama wanachama wa Yanga kwa sababu wanaona timu inavyopata matokeo.

Timu kwa Sasa imekuwa popular kwa sababu ya kuongeza fan base kwa sababu ya matokeo..

Sasa eng anaona kama timu yeye ndiye anaisaidia Sana lakini aelewi kwamba timu kufanya vizuri ni mchanganyiko wa mambo mengi yaani Benchi bora la ufundi, dua za wadau, Uwekezaji kwenye kununua wachezaji bora wa aina zote kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi.

Kwanza makosa makubwa yaanza kufanywa pale yanga ya kufukuza fukuza wachezaji na kujifanya yanga ni kubwa kuliko wachezaji!!

Hii sio kweli wote tunategemeana yanga ni timu ya umma sio ya GSM kwamba ataamua kila kitu tu yeye Bila kuulizwa lazima tuhoji kwa sababu Harsi mimi ni moja ya watu ambao nilikuchagua acha kuwa na kiburi .

Acha kuingizwa king na majasusi na kujifanya unajua kila kitu .

Mpe fei toto mkataba mpe hiyo milion 16 kwani pesa kitu gani bwana si wanacha si tunatoa ?

Mpe dickson job mkataba mrefu hata miaka 5 yule yupo yupo Sana Sana mpe hiyo milion 10 anayotaka.

Yanga kwa Sasa ina wanachama 50000×29000 unapata 1,450,000,000 hii pesa inatosha kulipa mishahara ya mwaka mzima ya wachezaji!!.

Hivi unapata kiasi gani kama shukrani kutoka kwa wachezaji wabovu kama Bigrimana na Kisinda takataka zile?

Eng acha kiburi kubali kwamba kwa Kisinda na Bigrimana tulipigwa achana nao kabisa tumefanya makosa kwa saido alitakiwa kupewa mkataba mpya mapema Sana sasahivi tunakuwa na kiburi..

Tutapoteza wachezaji vijana kama feisal na Dickson job tena wazawa kwa sababu ya milion 26 upuuzi kama timu haina pesa semini tuchangie..

Yanga ni brand kubwa kwa Sasa na timu yeyote kama inapata matokeo na kulinda maslahi ya wachezaji wetu hakuna mtu ataiangusha hii club.

Mnahangaika na wachezaji ambao hawajaprove na kuchezea shilling kwa wachezaji ambao tayari walishaprove.

Eng acha kiburi kuwa makini Sana Linda wachezaji wetu ambao waliipambania timu hata kabla ya timu kuwa na chochote!!!.

Happy new year!!
 
Mkuu kuendesha taasisi sio sawa na kuendesha familia yenye mke na watoto wawili ambacho kila asemacho baba Ni Sheria , regardless kina impact gani ! Mambo yanaenda kwa utaratibu, sio kukurupuka !! Umsimlaumu Hersi

Wachezaji si Wana management ? Hawa watu ndio wanasimamia maslahi ya mchezaji kuanzia mishahara , posho n.k! Wakikubaliana wanatia saini pande zote mbili,,,,

What if job Apewe hizo 10m, clement na nkane nao wakizihitaji wapewe ? Kuna standards za kuendesha timu, naona kwa upande wa wazawa Bado tuna shida ya kuwa na management zinazojielewa ama Ni njaa zetu, mchezaji unaeletewa mkataba mezani wewe na uongozi wako mnaogopa kuhoji khs maboresho kisa kuogopa kuachwa ,,,

Rejea hata ulaya, mchezaji akiona management haieleweki anatimua haraka ,,Jesse lingard, Paulo dybala, hakim ziyech n.k !
 
Mimi ni mwanachama wa Yanga mwenye kadi kabisa ya uwanachama.

Watu wengi wanajiunga na kujiandikisha kama wanachama wa Yanga kwa sababu wanaona timu inavyopata matokeo.

Timu kwa Sasa imekuwa popular kwa sababu ya kuongeza fan base kwa sababu ya matokeo..

Sasa eng anaona kama timu yeye ndiye anaisaidia Sana lakini aelewi kwamba timu kufanya vizuri ni mchanganyiko wa mambo mengi yaani Benchi bora la ufundi, dua za wadau, Uwekezaji kwenye kununua wachezaji bora wa aina zote kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi.

Kwanza makosa makubwa yaanza kufanywa pale yanga ya kufukuza fukuza wachezaji na kujifanya yanga ni kubwa kuliko wachezaji!!

Hii sio kweli wote tunategemeana yanga ni timu ya umma sio ya GSM kwamba ataamua kila kitu tu yeye Bila kuulizwa lazima tuhoji kwa sababu Harsi mimi ni moja ya watu ambao nilikuchagua acha kuwa na kiburi .

Acha kuingizwa king na majasusi na kujifanya unajua kila kitu .

Mpe fei toto mkataba mpe hiyo milion 16 kwani pesa kitu gani bwana si wanacha si tunatoa ?

Mpe dickson job mkataba mrefu hata miaka 5 yule yupo yupo Sana Sana mpe hiyo milion 10 anayotaka.

Yanga kwa Sasa ina wanachama 50000×29000 unapata 1,450,000,000 hii pesa inatosha kulipa nishapata ya mwaka mzima ya wachezaji!!.

Eng acha kiburi kubali kwamba kwa Kisinda na Bigrimana tulipigwa achana nao kabisa tumefanya makosa kwa saido alitakiwa kupewa mkataba mpya mapema Sana sasahivi tunakuwa na kiburi..

Tutapoteza wachezaji vijana kama feisal na Dickson job tena wazawa kwa sababu ya milion 26 upuuzi kama timu haina pesa semini tuchangie..

Yanga ni brand kubwa kwa Sasa na timu yeyote kama inapata matokeo na kulinda maslahi ya wachezaji wetu hakuna mtu ataiangusha hii club.

Mnahangaika na wachezaji ambao hawajaprove na kuchezea shilling kwa wachezaji ambao tayari walishaprove.

Eng acha kiburi kuwa makini Sana Linda wachezaji wetu ambao waliipambania timu hata kabla ya timu kuwa na chochote!!!.

Happy new year!!
Wakati wa uchaguzi hamchukui form baadae mna anza uchambuzi uchwara
 
Mkuu kuendesha taasisi sio sawa na kuendesha familia yenye mke na watoto wawili ambacho kila asemacho baba Ni Sheria , regardless kina impact gani ! Mambo yanaenda kwa utaratibu, sio kukurupuka !! Umsimlaumu Hersi

Wachezaji si Wana management ? Hawa watu ndio wanasimamia maslahi ya mchezaji kuanzia mishahara , posho n.k! Wakikubaliana wanatia saini pande zote mbili,,,,

What if job Apewe hizo 10m, clement na nkane nao wakizihitaji wapewe ? Kuna standards za kuendesha timu, naona kwa upande wa wazawa Bado tuna shida ya kuwa na management zinazojielewa ama Ni njaa zetu, mchezaji unaeletewa mkataba mezani wewe na uongozi wako mnaogopa kuhoji khs maboresho kisa kuogopa kuachwa ,,,

Rejea hata ulaya, mchezaji akiona management haieleweki anatimua haraka ,,Jesse lingard, Paulo dybala, hakim ziyech n.k !
Well said bro, shida ya wachezaji wa bongo ni kuwa na management mbovu.
 
Mkuu kuendesha taasisi sio sawa na kuendesha familia yenye mke na watoto wawili ambacho kila asemacho baba Ni Sheria , regardless kina impact gani ! Mambo yanaenda kwa utaratibu, sio kukurupuka !! Umsimlaumu Hersi

Wachezaji si Wana management ? Hawa watu ndio wanasimamia maslahi ya mchezaji kuanzia mishahara , posho n.k! Wakikubaliana wanatia saini pande zote mbili,,,,

What if job Apewe hizo 10m, clement na nkane nao wakizihitaji wapewe ? Kuna standards za kuendesha timu, naona kwa upande wa wazawa Bado tuna shida ya kuwa na management zinazojielewa ama Ni njaa zetu, mchezaji unaeletewa mkataba mezani wewe na uongozi wako mnaogopa kuhoji khs maboresho kisa kuogopa kuachwa ,,,

Rejea hata ulaya, mchezaji akiona management haieleweki anatimua haraka ,,Jesse lingard, Paulo dybala, hakim ziyech n.k !
Utakuwaje na management kwa mshahara wa milion 2, 3 au 4 ?

Ungesema serikali iweke sera ya ulinzi kwa wachezaji wazawa kama uingereza ningekuelewa
 
F893CD1B-E35E-4FBC-AA6E-15CBFD990987.png


Mo kafulia, lakini anataka kumwaga 200M kwa kijana mmoja ktk jangwa la kalahali huko namibia mitaa ya kariakoo

OKW BOBAN SUNZU
 
View attachment 2464398

Mo kafulia, lakini anataka kumwaga 200M kwa kijana mmoja ktk jangwa la kalahali huko namibia mitaa ya kariakoo

OKW BOBAN SUNZU
Ndio utashangaa mkataba unaisha mwezi 6 baada wakae chini fasta waongeza mkataba wapo wapo tu kama mazuzu

Sometimes wanalewa ushindi lakini ukiangalia yanga ina key player wake ambao ni Mayele, Azziz key, Feisal, job, bangala na aucho lakini watu wanajitoa ufahamu!!

Tuna rais ana kiburi Sana
 
Ndio utashangaa mkataba unaisha mwezi 6 baada wakae chini fasta waongeza mkataba wapo wapo tu kama mazuzu

Sometimes wanalewa ushindi lakini ukiangalia yanga ina key player wake ambao ni Mayele, Azziz key, Feisal, job, bangala na aucho lakini watu wanajitoa ufahamu!!

Tuna rais ana kiburi Sana
Hebu onesha kiburi cha Rais wa Yanga ndugu hersi Said maana umetoa tuhuma bila uthibitisha wowote
 
Usidanganyike ni kitu kinaitwa "fan base" kwa hizi timu kubwa, hao jamaa wanachojua ni kupiga kelele tu za ushabiki, lakini ukitaka kujua walivyo wasumbufu waambie tu walipie kadi zao za uanachama, hapo ndipo utaiona rangi yao halisi, ni wagumu kutoa wanaopenda sana kulalamika mambo ya timu yakienda kombo, kuna uswahili mwingi sana.
 
Ndio utashangaa mkataba unaisha mwezi 6 baada wakae chini fasta waongeza mkataba wapo wapo tu kama mazuzu

Sometimes wanalewa ushindi lakini ukiangalia yanga ina key player wake ambao ni Mayele, Azziz key, Feisal, job, bangala na aucho lakini watu wanajitoa ufahamu!!

Tuna rais ana kiburi Sana
Hata wewe unaruhusiwa kua Rais
 
HIyo 1.45B ya wanachama ipo kwenye makaratasi tu, ingekuwa rahisi hivyo tusingetembeza bakuli kipindi kile cha Zahera.
Pia hawa wachezaji wazawa wengi hawana uwezo wa kucheza kwa kiwango kikubwa zaidi ya misimu 2 au 3, hapa Hersi asilaumiwe.

Me naona tatizo ni kwamba tumesajili wachezaji wengi wageni wenye uwezo mdogo au unaolingana na hawa wazawa, hapo hata ungekuwa wewe mzawa lazima ungeona unaonewa tu kwenye malipo.

Kisinda, Bigirimana, Morrison, Makambo na nikienda mbali zaidi hata Aziz Ki sijaona kama uwezo mkubwa.
 
Mimi ni mwanachama wa Yanga mwenye kadi kabisa ya uwanachama.

Watu wengi wanajiunga na kujiandikisha kama wanachama wa Yanga kwa sababu wanaona timu inavyopata matokeo.

Timu kwa Sasa imekuwa popular kwa sababu ya kuongeza fan base kwa sababu ya matokeo..

Sasa eng anaona kama timu yeye ndiye anaisaidia Sana lakini aelewi kwamba timu kufanya vizuri ni mchanganyiko wa mambo mengi yaani Benchi bora la ufundi, dua za wadau, Uwekezaji kwenye kununua wachezaji bora wa aina zote kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi.

Kwanza makosa makubwa yaanza kufanywa pale yanga ya kufukuza fukuza wachezaji na kujifanya yanga ni kubwa kuliko wachezaji!!

Hii sio kweli wote tunategemeana yanga ni timu ya umma sio ya GSM kwamba ataamua kila kitu tu yeye Bila kuulizwa lazima tuhoji kwa sababu Harsi mimi ni moja ya watu ambao nilikuchagua acha kuwa na kiburi .

Acha kuingizwa king na majasusi na kujifanya unajua kila kitu .

Mpe fei toto mkataba mpe hiyo milion 16 kwani pesa kitu gani bwana si wanacha si tunatoa ?

Mpe dickson job mkataba mrefu hata miaka 5 yule yupo yupo Sana Sana mpe hiyo milion 10 anayotaka.

Yanga kwa Sasa ina wanachama 50000×29000 unapata 1,450,000,000 hii pesa inatosha kulipa mishahara ya mwaka mzima ya wachezaji!!.

Hivi unapata kiasi gani kama shukrani kutoka kwa wachezaji wabovu kama Bigrimana na Kisinda takataka zile?

Eng acha kiburi kubali kwamba kwa Kisinda na Bigrimana tulipigwa achana nao kabisa tumefanya makosa kwa saido alitakiwa kupewa mkataba mpya mapema Sana sasahivi tunakuwa na kiburi..

Tutapoteza wachezaji vijana kama feisal na Dickson job tena wazawa kwa sababu ya milion 26 upuuzi kama timu haina pesa semini tuchangie..

Yanga ni brand kubwa kwa Sasa na timu yeyote kama inapata matokeo na kulinda maslahi ya wachezaji wetu hakuna mtu ataiangusha hii club.

Mnahangaika na wachezaji ambao hawajaprove na kuchezea shilling kwa wachezaji ambao tayari walishaprove.

Eng acha kiburi kuwa makini Sana Linda wachezaji wetu ambao waliipambania timu hata kabla ya timu kuwa na chochote!!!.

Happy new year!!
Yani hizo hesabu ulivyopiga kuwa yanga wanachama x tunatoa kiasi y...

Yale yale ya kilimo cha matikiti
 
Ndio utashangaa mkataba unaisha mwezi 6 baada wakae chini fasta waongeza mkataba wapo wapo tu kama mazuzu

Sometimes wanalewa ushindi lakini ukiangalia yanga ina key player wake ambao ni Mayele, Azziz key, Feisal, job, bangala na aucho lakini watu wanajitoa ufahamu!!

Tuna rais ana kiburi Sana
MKuu labda huwajui wachezaji wa bongo huwa hawakubali kuongeza mkataba kipindi mkataba haujaisha sababu kubwa ni signing fee.
Maana ukiongeza mkataba katikati hupati signing fee unachoongezewa ni mshahara tu sasa wachezaji wa bongo wengi hawamtaki hilo.
 
Uwa nasema siku zote, Yale Maneno ya Rage na Hersi yanaukweli mtupu… Mashabiki wengi wa Mpira bongo Hamnazo kabisa…. Hawajui mpira wala biashara ya Mpira… Eng Hersi ndio kiongozi bora wa Mpira Tanzania… anajua siasa, Fitina, Kufanya sajili na kutumia pesa kuliko Kiongozi yeyote Bongo… Hakuna mchezaji wa Kiafrika atasajiliwa kwa miaka 5 bcz viwango vyao sio vya uwakika kila siku… Alafu Feisal sio muhimu sana pale Yanga kwa sasa sema tuuuh ni mzawa lakini pia ni vizuri akaenda nje itakuwa faida kwa taifa lakini Aziz Ki na sureboy pamoja na Bobosi kama watakuja watakuwa wamecover nafsi yake vizuri tuuh… Yanga inamuitaji Feisal kama mzawa tuuuh lakini sio muhimu sana kwenye kikosi… Mtu muhimu sana pale Yanga ni prof Nabi, yule kocha wa viungo, Diara, Bangala, Mayele, Sureboy, GSM na Hersi Pamoja na Job, Msheri na Kibwana ndio watu ambao kupata replacement zao kwa haraka ni shida sana
 
View attachment 2464398

Mo kafulia, lakini anataka kumwaga 200M kwa kijana mmoja ktk jangwa la kalahali huko namibia mitaa ya kariakoo

OKW BOBAN SUNZU
Simba inateseka sana na mafanikio ya Yanga, wanayanga tutambue makolo wote wanaumwa sana mioyo, ubingwa wa msimu mmoja tu siasa chafu za kuvuruga timu yetu zimeanza, uongozi wa Yanga na wachezaji wawe makini!

Simba hawana nia njema na Yanga na hawana hela ya kuwalipa wachezaji wa Yanga wanachofanya ni kuvuruga saikolojia ya wachezaji wetu ili kuwatoa kwenye ramani ya ushindi!
 
Soma namba 5 uone michango ya wanachama Kwa mwaka 2020.

Wanachama walichangia milion 6 kwenye Ada za uanachama.

Hiyo ni taarifa ya mapato na matumizi ya Yanga kwenye mkutano mkuu WA timu mwaka 2020.

Sasa wewe endelea kujidanganya na hizo bilion za wanachama
images (44).jpg
 
HIyo 1.45B ya wanachama ipo kwenye makaratasi tu, ingekuwa rahisi hivyo tusingetembeza bakuli kipindi kile cha Zahera.
Pia hawa wachezaji wazawa wengi hawana uwezo wa kucheza kwa kiwango kikubwa zaidi ya misimu 2 au 3, hapa Hersi asilaumiwe.

Me naona tatizo ni kwamba tumesajili wachezaji wengi wageni wenye uwezo mdogo au unaolingana na hawa wazawa, hapo hata ungekuwa wewe mzawa lazima ungeona unaonewa tu kwenye malipo.

Kisinda, Bigirimana, Morrison, Makambo na nikienda mbali zaidi hata Aziz Ki sijaona kama uwezo mkubwa.
Bigirimana hakuna wa kumfikia hapa Bongo, tatizo mmezoea kutumia nguvu nyingi bila akili.
 
Back
Top Bottom