Waulize wenzio ambao wako na muhaho utafikiri huyo Hersi ni baba yao.Na wewe unaamini hilo? Kwahiyo Mafanikio ya Mamelodi ni kwa sababu mmiliki ni Rais wa CAF si kwa sababu ya uwekezaji?
Kwahiyo ni Boss mpaka wa Simba kwa sasa๐๐๐
Swali zuri.Halafu wewe inakusaidia nini? Fanya kazi mkuu
We ukimponda hersi au kipindi kile yanga wanamponda barbara walikua wanapunguza niniUshabiki wa mpira Tanzania ni kichaka cha kulea roho za wivu, husda, chuki na roho mbaya. Hii kauli nimeshaisema mara kwa mara. Wakati Barbra yupo huko au alionekana ana ukaribu na watu wa CAF mlikuwa mnaonyesha chuki za wazi wazi, leo ndiyo mnaona na kusifia kuwa ni fursa nzuri.
Halafu muache kupotosha, hiko chama hakina cheo cha RAIS.
Wapi nimemponda?We ukimponda hersi au kipindi kile yanga wanamponda barbara walikua wanapunguza nini
Tanzania kuna ujinga sana
Unafikiri hata unavyowalalamikia utawapunguzia kitu we endelea kuwalalamikiaWapi nimemponda?
Mara namlalamikia, mara namponda, jomba vipi? Yanga mmevurugwa, ikifika kesho mida kama hii sijui mtakuwa kwenye hali ganiUnafikiri hata unavyowalalamikia utawapunguzia kitu we endelea kuwalalamikia
Watanzania tuache majungu sio mtaji
Suala sio kukidhi vigezo kafuatilie vizuri ilikuwajeSasa Kama mmekosa ata ivyo viti maalum ndio mjue viongozi wenu awajakidhi vigezo vya kuiongoza taasisi kubwa na kuingia kwenye vikao muhimu vya kimaamuzi
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎSuala sio kukidhi vigezo kafuatilie vizuri ilikuwaje
Club kubwa zote viongozi wake waligoma kuchukua wadhifa huo akiwemo try again alibakia hersi wakaona wampe
Sio wa kwanza Yanga kufungwa na al ahalyMara namlalamikia, mara namponda, jomba vipi? Yanga mmevurugwa, ikifika kesho mida kama hii sijui mtakuwa kwenye hali gani
Pole๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Mbona kinyonge sana? ๐ ๐Sio wa kwanza Yanga kufungwa na al ahaly