Eng. Hersi Said anaingia moja kwa moja kwenye Vikao vya Kamati ya Utendaji ya Marais wa CAF kwa wadhifa wake mpya!

Eng. Hersi Said anaingia moja kwa moja kwenye Vikao vya Kamati ya Utendaji ya Marais wa CAF kwa wadhifa wake mpya!

Na wewe unaamini hilo? Kwahiyo Mafanikio ya Mamelodi ni kwa sababu mmiliki ni Rais wa CAF si kwa sababu ya uwekezaji?
Waulize wenzio ambao wako na muhaho utafikiri huyo Hersi ni baba yao.

Nilichogundua wiki hii mashabiki wa Yanga wamevurugwa kweli kweli, stress ya zile 3 na hii ya kipigo cha kesho inawapeleka mbio mbio ndiyo maana kila siku shughuli.
 
Ushabiki wa mpira Tanzania ni kichaka cha kulea roho za wivu, husda, chuki na roho mbaya. Hii kauli nimeshaisema mara kwa mara. Wakati Barbra yupo huko au alionekana ana ukaribu na watu wa CAF mlikuwa mnaonyesha chuki za wazi wazi, leo ndiyo mnaona na kusifia kuwa ni fursa nzuri.

Halafu muache kupotosha, hiko chama hakina cheo cha RAIS.
We ukimponda hersi au kipindi kile yanga wanamponda barbara walikua wanapunguza nini
Tanzania kuna ujinga sana
 
Unafikiri hata unavyowalalamikia utawapunguzia kitu we endelea kuwalalamikia
Watanzania tuache majungu sio mtaji
Mara namlalamikia, mara namponda, jomba vipi? Yanga mmevurugwa, ikifika kesho mida kama hii sijui mtakuwa kwenye hali gani
 
Sasa Kama mmekosa ata ivyo viti maalum ndio mjue viongozi wenu awajakidhi vigezo vya kuiongoza taasisi kubwa na kuingia kwenye vikao muhimu vya kimaamuzi
Suala sio kukidhi vigezo kafuatilie vizuri ilikuwaje
Club kubwa zote viongozi wake waligoma kuchukua wadhifa huo akiwemo try again alibakia hersi wakaona wampe
 
Suala sio kukidhi vigezo kafuatilie vizuri ilikuwaje
Club kubwa zote viongozi wake waligoma kuchukua wadhifa huo akiwemo try again alibakia hersi wakaona wampe
🚮🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom