Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

SILI[emoji777]

SIRI[emoji3581]

Mbali na kosa hilo dogo la kiuandishi,leo ni siku uliyoongea kitu cha maana kuliko siku zote hapa jukwaani,


UNA KITU,UTAFIKA MBALI
Shukurani sana Mbumbumbu
Kukosea ni kawaida wanakosea BBC Tena wanasema kumradhi Mimi Nani nisokosee??

Kubwa jinga wewe.
 
Fala wewe huna akili ,na ukitaka kujua hilo rudia uharo wako wote unaocomment hapa .
Sijui ni la Saba C .huna akili pumba kabisa[emoji706]
Toa kinyeo chako hapa....katafute bwana mkatafute mtoto [emoji24][emoji24]
 
Bahati mbaya zaidi ni pale hao TFF walipoamua kurudisha mahusiano yao na utopolo kwa kukandamiza haki ya Feisal wazi.

Fatma alishasema kuna kifungu kwenye mkataba wa Feisal kinachomruhusu kuvunja mkataba, utopolo na wanasheria wao hawakuwahi kupinga hili, ajabu mpaka leo bado Feisal anasumbuliwa na wale wahuni wa pale Karume.
 
Wasomali wengi ni watu wa hovyo sana.
 
Kwenye hizo sajili ni Nan anamzid kiwango fei?
Muda mwingine watz tuache unafki kisa tu hatak kuendelea kuwepo yanga .
Mchezaj akiwa yanga anakua wa maana akitaka kutoka mnasahau Kila kitu ,huo ni ushamba na umaskin wa fikra

Kwahiyo Eng Hersi mbaya kwake tu? Kabla ya Kuja vyuma Fei alikuwa anajiona MWAMBA baada ya Eng Alhaj Hersi kuleta Vyombo hatari FEI anaona wivu na kuanza kuleta MBAMBAMBA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…