Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

Tuache timu tumaliza jambo la kitaifa kwanza, hawa watu wamejipanga kuhakisha timu inakwenda kupoteza mechi, ni issue ya kujiuliza tu kwanini Fei na Genge lake hujitokeza pale Tanga anapokuwa kwenye mechi muhimu kama hizi.

Ndugu naona umeingia kwenye mtego wa hawa wahuni, wameona wakideal na Yanga as Taasisi hawatafanikisha sasa wameamua kudeal na Hersi kwani ameshaonekana ni mwiba.
Suala la kitaifa linaendelea mkuu.
 
Kwani Simba ndiyo walimtuma Hersi ambashie Feisal?
Mbona hakuwahi kulalamika huko nyuma kuwa Hers kamfanya vibaya...

Kaenda TFF mara mbili na wawakilishi wake ulisikia akimlalamikia Eng. Hers!?

Kiungo, Ugali na Sukari kachemka Hana hoja anaibua viroja tu...

Anatafuta Huruma tu Sasa hivi, baada ya kugundua kachemka..

Ni mpumbavu [emoji1787]
 
hersi anawanyoosha sana wanafki na wahujumu timu na ni mwiba kwa mwanasheria uchwara wa feisal..wa kina mayele wangekuwa wanauswahili yanga ingesha hujumika maana hapa tz mafanikio ya mwenzako yanawatia chuki wengine na anguko lako linawapa kicheko wengine
 
Saa mbovu leo imeongea ukweli,kumbe mda mwingine unakuwa na akili mleta mada
 
Sometimes jifunze kua na hekima either unayajua au hujui kukaa kimya haiku gharimu kitu una accuse watu ili upate nini? hizi timu zisitufanye kuvunjia watu heshima! Japo mimi sio shabiki wa Simba siwezi kumu attack mtu wa Simba kwa kumchafua imradi tu ushabiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani Kabwili alipo sema kawaacha wengi palee alipo hojiwa, hadi wakamzibaa mdomo, nitolee ashuo zakoo hapa.

Wanatakaa wako wenyewe yawe makubwaa, si wamuachee Fei asepeee. Shida nn??
 
Amijei kashapagawa ,anataka hadi GSM aondoke 😀 😀 sasa sijui nani atakuwa anadhamini yanga.

Unawajua waliomzidi ila unajitoa ufahamu ,Hersi ndiyo aliyoleta mafanikio yanga haiwezekani aondoke kwa ajili ya AMIJEI ,ni Bora mla UROJO aondoke yeye!!

Mbona hapa kabwili hausiki au ni TEAM moja na wewe Mkameruni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mchezaji gani wa kumzidi Fei? Sasa km wapoo mbna mna bania yeye kuondokaaa?? Ila Yanga bhanaa mnachekeshaaa kweli.

Mumuachee aondokeeee zakee, mnamtakaa wa nn na yeye kasema hataki kucheza hapo km wako watesi wake wapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiwango cha kushinda mahakamani?
Kuna kazi za michezo active
Unatakiwa uwe dimbani mda wote.
Mike Tyson alikaa benchi kwa kesi ingine kabisa.
Ukija Ufc
Francis Nganou kapigwa benchi baada kuleta politic Ufc.
Kuna huyu tapeli mpiganaji Mayweather ananunua mtu wa kupigana nae..
Badae anastaafu anarudi
Michezo unatakiwa kuwa active
mda wote
sio kulialia tu na mahakama.
Hapo sasa kuna timu itamtaka?
Kesho ukimkuta kko anauza maji

viroba usishangae.
Kashaanza kuomba michango
Sasa km hapo Yanga kuna wachezaji wa kumzidi Fei kiwango, mbna mna bania yeye kuondokaa zakee??
Mbna hata hamuelewekiiiii nn mnatakaa nyiee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa km hapo Yanga kuna wachezaji wa kumzidi Fei kiwango, mbna mna bania yeye kuondokaa zakee??
Mbna hata hamuelewekiiiii nn mnatakaa nyiee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We bibi, mi hata huo mpira sijui unachezwaje,niliacha baada kumvunja mtu ugoko nikiwa na miaka 10 tu.
Mpk leo naangalia tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mchezaji gani wa kumzidi Fei? Sasa km wapoo mbna mna bania yeye kuondokaaa?? Ila Yanga bhanaa mnachekeshaaa kweli.

Mumuachee aondokeeee zakee, mnamtakaa wa nn na yeye kasema hataki kucheza hapo km wako watesi wake wapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Habaniwi kuondoka ,afuate taratibu za kuondoka ,hivi ushawahi kuajiriwa au umeajiriwa? Unajua taratibu za kuvunja mkataba? Ukivunja mkataka kihuni inabidi baadhi ya mambo uilipe kampuni kama walikupa training kuna idadi ya muda inabidi utumikie ili fedha waliyotoa kwenye training irude kama ikivunja kiuni unalipa mshahara mmoja na fedha ya trainings na other kama zipo.

Sasa huyo AMIJEI kavunja mkataba online(instagram/facbook) hataki kwenda kuonana na yanga ,bado feisal ni mchezaji wa yanga ila ni mtoro ,Yanga hawana time naye ndiyo maana achezi ila yanga ina mafanikio kama YOTE.....Yanga wanamtaka wakae mezani wakubaliane terms za kuvunja mkataba.

Muache aende CAS akadondokee PUA na atawalipa yanga fedha ndefu otherwise abadili career aende kuuza urojo JAMBIANI au CHAKECHAKE.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani Kabwili alipo sema kawaacha wengi palee alipo hojiwa, hadi wakamzibaa mdomo, nitolee ashuo zakoo hapa.

Wanatakaa wako wenyewe yawe makubwaa, si wamuachee Fei asepeee. Shida nn??
unapata faida gani kuchafua watu humu? either wanafanya au hawafanyi can't you mind your own business? thread imegeuka kua mambo ya ushoga why don't you behave like a man?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mchezaji gani wa kumzidi Fei? Sasa km wapoo mbna mna bania yeye kuondokaaa?? Ila Yanga bhanaa mnachekeshaaa kweli.

Mumuachee aondokeeee zakee, mnamtakaa wa nn na yeye kasema hataki kucheza hapo km wako watesi wake wapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SI KI HIVYO KAMA UNAVYOFIKIRI, HUTOKI KAMA UNATOKA CHOONI.

LAZIMA TARATIBU ZIFUATWE.

NA WALIPEWA TARATIBU ZOTE A,B NA C.

TATIZO KIJANA WENU ANAENDESHWA NA GENGE LISILOPENDA MAFANIKIO YA YANGA KWA MIAKA HII.

LAZIMA UFIKIRI NJE YA BOX KIJANA MDOGO
 
SI KI HIVYO KAMA UNAVYOFIKIRI, HUTOKI KAMA UNATOKA CHOONI.

LAZIMA TARATIBU ZIFUATWE.

NA WALIPEWA TARATIBU ZOTE A,B NA C.

TATIZO KIJANA WENU ANAENDESHWA NA GENGE LISILOPENDA MAFANIKIO YA YANGA KWA MIAKA HII.

LAZIMA UFIKIRI NJE YA BOX KIJANA MDOGO
Huna hata unacho kijua wee, bora ukae kimyaa tyuuh.
 
Back
Top Bottom