Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

Suala la kitaifa linaendelea mkuu.
 
Kwani Simba ndiyo walimtuma Hersi ambashie Feisal?
Mbona hakuwahi kulalamika huko nyuma kuwa Hers kamfanya vibaya...

Kaenda TFF mara mbili na wawakilishi wake ulisikia akimlalamikia Eng. Hers!?

Kiungo, Ugali na Sukari kachemka Hana hoja anaibua viroja tu...

Anatafuta Huruma tu Sasa hivi, baada ya kugundua kachemka..

Ni mpumbavu [emoji1787]
 
hersi anawanyoosha sana wanafki na wahujumu timu na ni mwiba kwa mwanasheria uchwara wa feisal..wa kina mayele wangekuwa wanauswahili yanga ingesha hujumika maana hapa tz mafanikio ya mwenzako yanawatia chuki wengine na anguko lako linawapa kicheko wengine
 
Saa mbovu leo imeongea ukweli,kumbe mda mwingine unakuwa na akili mleta mada
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani Kabwili alipo sema kawaacha wengi palee alipo hojiwa, hadi wakamzibaa mdomo, nitolee ashuo zakoo hapa.

Wanatakaa wako wenyewe yawe makubwaa, si wamuachee Fei asepeee. Shida nn??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mchezaji gani wa kumzidi Fei? Sasa km wapoo mbna mna bania yeye kuondokaaa?? Ila Yanga bhanaa mnachekeshaaa kweli.

Mumuachee aondokeeee zakee, mnamtakaa wa nn na yeye kasema hataki kucheza hapo km wako watesi wake wapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa km hapo Yanga kuna wachezaji wa kumzidi Fei kiwango, mbna mna bania yeye kuondokaa zakee??
Mbna hata hamuelewekiiiii nn mnatakaa nyiee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa km hapo Yanga kuna wachezaji wa kumzidi Fei kiwango, mbna mna bania yeye kuondokaa zakee??
Mbna hata hamuelewekiiiii nn mnatakaa nyiee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We bibi, mi hata huo mpira sijui unachezwaje,niliacha baada kumvunja mtu ugoko nikiwa na miaka 10 tu.
Mpk leo naangalia tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba uniachee, waulize Fei na Hersi wao wana majibu yotee.

Kuna kitu tu sio bure mtu ukatae timu yako ghafla
 

Habaniwi kuondoka ,afuate taratibu za kuondoka ,hivi ushawahi kuajiriwa au umeajiriwa? Unajua taratibu za kuvunja mkataba? Ukivunja mkataka kihuni inabidi baadhi ya mambo uilipe kampuni kama walikupa training kuna idadi ya muda inabidi utumikie ili fedha waliyotoa kwenye training irude kama ikivunja kiuni unalipa mshahara mmoja na fedha ya trainings na other kama zipo.

Sasa huyo AMIJEI kavunja mkataba online(instagram/facbook) hataki kwenda kuonana na yanga ,bado feisal ni mchezaji wa yanga ila ni mtoro ,Yanga hawana time naye ndiyo maana achezi ila yanga ina mafanikio kama YOTE.....Yanga wanamtaka wakae mezani wakubaliane terms za kuvunja mkataba.

Muache aende CAS akadondokee PUA na atawalipa yanga fedha ndefu otherwise abadili career aende kuuza urojo JAMBIANI au CHAKECHAKE.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani Kabwili alipo sema kawaacha wengi palee alipo hojiwa, hadi wakamzibaa mdomo, nitolee ashuo zakoo hapa.

Wanatakaa wako wenyewe yawe makubwaa, si wamuachee Fei asepeee. Shida nn??
unapata faida gani kuchafua watu humu? either wanafanya au hawafanyi can't you mind your own business? thread imegeuka kua mambo ya ushoga why don't you behave like a man?
 
SI KI HIVYO KAMA UNAVYOFIKIRI, HUTOKI KAMA UNATOKA CHOONI.

LAZIMA TARATIBU ZIFUATWE.

NA WALIPEWA TARATIBU ZOTE A,B NA C.

TATIZO KIJANA WENU ANAENDESHWA NA GENGE LISILOPENDA MAFANIKIO YA YANGA KWA MIAKA HII.

LAZIMA UFIKIRI NJE YA BOX KIJANA MDOGO
 
SI KI HIVYO KAMA UNAVYOFIKIRI, HUTOKI KAMA UNATOKA CHOONI.

LAZIMA TARATIBU ZIFUATWE.

NA WALIPEWA TARATIBU ZOTE A,B NA C.

TATIZO KIJANA WENU ANAENDESHWA NA GENGE LISILOPENDA MAFANIKIO YA YANGA KWA MIAKA HII.

LAZIMA UFIKIRI NJE YA BOX KIJANA MDOGO
Huna hata unacho kijua wee, bora ukae kimyaa tyuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…