Eng Hersi Said Simamia Misingi ya Kanuni na Sheria za Mpira. Mshauri Rais Samia asivuke Mipaka

Wamemuuza Fei Kwa chembe ya ubwabwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wamuuze wapi?? Anatokaa akiwa free, na mama mjanja alishajua wakati wa usajiri ni huu, ngoja waje ikulu niwapige kwenye mshonooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fei yuko huruuu.
 
rais katoa ombi hajaelekeza wala kulazimisha,yanga watamwita fei na waongee ili wamuuze au alipe gharama za kuvunja mkataba
Kwani kaitwa mara ngap hataki kwenda? Shida Feisal anaamini anaweza kufanya mambo ye mwenyewe bila kukaa na Yanga! Kitu ambacho hakiwezekani
 
Waarabu wapemba hujuana Kwa vilemba...!!
Maza kamaliza kesi Jana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Amemaliza kikatili sanaaa, watu hata pilau halijafika tumboni, mama akawapa kichefu chefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawajui watapike au wamezeee. Nomaaaaaah
 
Jidangaye
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wamuuze wapi?? Anatokaa akiwa free, na mama mjanja alishajua wakati wa usajiri ni huu, ngoja waje ikulu niwapige kwenye mshonooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fei yuko huruuu.
Kuwa free si anunue mkataba wake! Kwani lini limepingwa na Yanga? Si walishasema kama yupo tayar kuondoka ye mwenyewe aje tuyajenge
 
Endelea kumdanganya..

NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA....UKIMTOA MUNGU KWA KATIBA HII TULIYO NAYO ANAFUATIA RAIS WA NCHI.....
 
Nyie si mlisema Fei ana haki sasa hamuoni umuhimu wa kutafuta haki kwenye mamlaka za kisoka ili waliomfanyia dhuluma waadabishwe ?
Sisi lengo ni yeye atoke hapo Utopoloni iwe kwa sheria au kinguvu.

Nyinyi ndio mkajidai wasiamamia misingi eti mnalinda brand.

Haya sasa Raisi katoa amri hakuna cha brand wala brandina hapo ni utekelezaji tu.
 
Hana ubavu wa kusimamia misingi wakati hela za kuendeshea Yanga zinatoka Msoga ndio maana wameitwa ikulu kwa sababu kuna rimoti pale Msoga inacontrol kila kitu
 
Usiseme; "Rais hana ufahamu wa kinachoendelea baina ya mgogoro uliopo kati ya Yanga na Faisal"

Rais ni taasisi,anapata information zote,mpaka kufikia kuliongelea hilo,ujue anazo info zote.
Rais wako hana uwezo wa kufalia mambo na kuyachakata! Angekuwa anazo taarifa sahihi basi hiyo issue wala asingeiongelea labda angekaa kimya tu! Kwani hajui kuwa vyombo vya maamuzi vya kisoka ambavyo vipo kwa mujibu wa taratibu za kisoka vilishakaa na kuamua? Yeye kwanini apeleke pressure kwa Yanga na sio kwa huyo mchezajj mwenyewe ambae anataki aufuate taasisi yake wakamalizane?
 
Amemaliza kikatili sanaaa, watu hata pilau halijafika tumboni, mama akawapa kichefu chefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawajui watapike au wamezeee. Nomaaaaaah
Vya Bure ghali siku zote
Mpk mda huu fei 3 yanga 0
 
Kuwa free si anunue mkataba wake! Kwani lini limepingwa na Yanga? Si walishasema kama yupo tayar kuondoka ye mwenyewe aje tuyajenge
Mbna walirudisha zile 112M baada ya kuingiziwa kwa ACC yao?? Au huna kumbu kumbu??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imeishaaaa hiyooooo
 
Tena Waambie No free lunch/dinner in Africa specifically Tanzania
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji849]Tena tajiri kaambiwa habanwi banwi Sasa ajishaue aone [emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wamuuze wapi?? Anatokaa akiwa free, na mama mjanja alishajua wakati wa usajiri ni huu, ngoja waje ikulu niwapige kwenye mshonooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fei yuko huruuu.
Hivi kweli dogo kawa huru na ni msimu wa usajili [emoji3][emoji3] Ubwabwa umewagharimu Uto
 
Amemaliza kikatili sanaaa, watu hata pilau halijafika tumboni, mama akawapa kichefu chefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawajui watapike au wamezeee. Nomaaaaaah
Siku nyingine wakiitiwa ubwabwa tena Ikulu hawaendi,wamejifunza vya bure ni gharama pia [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Walikuwa wanafakamia masotojo wakajiona wameyapatia maisha kuliko Simba.Wamepigwa ndoige moja tu ya Feisal sasa wamepoteana na pilau lote limekuwa chungu[emoji3][emoji3]
Wanajutaaaa kiherehere Cha vya Bure
Hapanaa chezeyaa mama ndo kashasema na anataka mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…