Kasanzu The Great
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 310
- 223
Weee hawana ubavu Wa kukataa na Hivi wamepata na Picha za kuweka sebuleni mwao za kwenye fremu[emoji1][emoji1][emoji1]Siku nyingine wakiitiwa ubwabwa tena Ikulu hawaendi,wamejifunza vya bure ni gharama pia [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ubwabwaa una balaaa lale mjinii.Hivi kweli dogo kawa huru na ni msimu wa usajili [emoji3][emoji3] Ubwabwa umewagharimu Uto
Maza kachana mikeka!!!ya watuAfu Dkk ya 88 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shidaa ya yanga roho mbayaaaaaaaaMbna walirudisha zile 112M baada ya kuingiziwa kwa ACC yao?? Au huna kumbu kumbu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imeishaaaa hiyooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua mama mjanjaa sanaa, akasisitiza anasubiri mrejeshoo wa suala la Fei toto. WoyooooooooSiku nyingine wakiitiwa ubwabwa tena Ikulu hawaendi,wamejifunza vya bure ni gharama pia [emoji3][emoji3][emoji3]
Sio mchezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fei ndo ataamua nini anatakaa.
Uwiiiiiih
Sasa mama kamaliza kibabeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shidaa ya yanga roho mbayaaaaaaaa
Wana uchawi mwingi sana
Nomaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio mchezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana hamu kabisaaMaza kachana mikeka!!!ya watu
Utashangaa simba watakavyomdaka fastaaaaaa. Yanga wamepoteza mchezaji kizembe kweli alafu mambo ya chuki zisizo na msingi ukimuangalia herisi anavyojifanya mpole nyoooo kumbe kashetani tuFeisali yuko huruu kuanzia jana usiku, bado kuweka wazi kwa umma tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kula chuma hichoNdiyo muelewe kwa nini FIFA inakataza serikali kuingilia mambo ya mpira wa miguu. Mlikata miuno kupewa ndege,mamilioni ya magoli na kualikwa kwenda kufakamia pilau la ikulu. There is no free dinner.
Ningekuwa mimi nisingetaka mbeleko maana wanaotafuta mlango tofauti na mamlaka husika basi huyo hana haki na ni tapeli hivyo madai yake ya kimkataba ni batili.Sisi lengo ni yeye atoke hapo Utopoloni iwe kwa sheria au kinguvu.
Nyinyi ndio mkajidai wasiamamia misingi eti mnalinda brand.
Haya sasa Raisi katoa amri hakuna cha brand wala brandina hapo ni utekelezaji tu.
Watu wisely washaelewa kuwa nyinyi ndio wenye matatizo na ndio maana Raisi hajamfata Feisali kumuambia arudi Yanga kama ambavyo TFF waliamua.Ningekuwa mimi nisingetaka mbeleko maana wanaotafuta mlango tofauti na mamlaka husika basi huyo hana haki na ni tapeli hivyo madai yake ya kimkataba ni batili.
Mfano wewe upewe kesi ya kubaka au Wizi na ushahidi unao kuwa wewe si mhusika sasa utakubali vipi ionekane umesamehewa kimagumashi kea shinikizo na sio kisheria hapo hamuoni dosari ?
Kwani wana akili sasa hapo utopoloni?Kanuni zinaeleza mikataba isivunjike mpaka huko CAS.
Fei hana faida yoyote Yanga kama hachezi. Mwambieni awalipe muachane naye. Hakuna maslahi yoyote kwa club mkiamua kumng'ag'ania. Raisi yupo sahihi. Yanga ni kubwa, Fei ni mdogo kumkomoa hakuna malsahi yoyote kwa club.
Kuwaambia wakae wamalize hiyo issue ni kupeleka pressure?Rais wako hana uwezo wa kufalia mambo na kuyachakata! Angekuwa anazo taarifa sahihi basi hiyo issue wala asingeongelea labda angekaa kimya tu Kwani hajui kuwa vyombo vya maamuzi vya kisoka ambavyo vipo kwa mujibu wa taratibu za kisoka vilishakaa na kuamua? Yeye kwanini apeleke pressure kwa Yanga na sio kwa huyo mchezajj mwenyewe ambae anataki aufuate taasisi yake wakamalizane?
Kama Yanga ndio wenye matatizo mamlaka ingeamua kwa vile ni jambo la kisheria , sasa wewe unaweka personal views kuamua jambo la kisheria kitu kama hiko hakipo kwa watu wenye busara zao.Watu wisely washaelewa kuwa nyinyi ndio wenye matatizo na ndio maana Raisi hajamfata Feisali kumuambia arudi Yanga kama ambavyo TFF waliamua.
Kwanza unatakiwa ujue lengo ni nini na sio niia gani iliyotumika kufikia lengo.
Lengo ni Feisali aondoke Yanga, njia yeyote itayotumika kwetu sisi ni malengo
Kama ni jambo la kisheria na Hersi anaifata basi angemuambia Raisi kuwa lile ni jambo la kisheria tuone inakuwaje.Kama Yanga ndio wenye matatizo mamlaka ingeamua kwa vile ni jambo la kisheria , sasa wewe unaweka personal views kuamua jambo la kisheria kitu kama hiko hakipo kwa watu wenye busara zao.