Ngoja tusubiri kesho mrudi na Furushi la 0:2Uto mwenzio kachanganyikiwa na kipigo, wewe unaonekana una afadhali umeshazoea vipigo vya CAF...!!
Hapana! Kila yanga anaamini yupo kwenye nafasi nzuri msimu huu wa kufuzu makundi!Watanzania hatuna subira.
Yanga ilikuwaa imechoka si ndani si kimataifa. Mtaka wonders tu kama kwa mwamposa.
Kila kitu kina stages
Sasa jiulize hiyo nafasi nzuri unayoiona nani wameifanya iwepo na kabla ya wao kutia pesa hiyo nafasi ilikuwepo?Hapana! Kila yanga anaamini yupo kwenye nafasi nzuri msimu huu wa kufuzu makundi!
Lakini nashangaa kuuona ule utopolo umerudi tena
We kolo kaa kwa kutulia boya wewe, tuachie Yanga yetu we ganga ya kwako huko Angola hujajua hata unatokaje.Habarini wanajangwani wenzangu
Tunajenga kikosi cha aina gani!?
Kwa nini kimataifa kila siku iwe kilio kwetu!?
Hapana.
Tunahitaji mabadiliko ndani ya klabu yetu, kuanzia uongozi, wachezaji mpaka benchi la ufundi
Tunahitaji kikosi kitakachotoa upinzani kwa timu za kimataifa na si kutamba ligi kuu peke yake
Kuna muda najisikia wivu navyoona wenzetu simba wanavyotinga mpaka hatua za robo fainali michuano ya Africa lakini nabaki sina namna, kwa sababu yanga niliirithi mwenyewe kwa baba angu
Ila ni mpaka lini tutaitwa majina ya kukera na wapinzani huko mitaani kama wamatopeni, utopolo, chura fc, wazee miamala nk
Yaani kila siku yanga ndo iwe timu ya kubinuliwa na wapinzani kimataifa, HAPANA IMETOSHA SASA
Naanza kuamini viongozi mnafanya tabia chafu za kununua mechi za ligi kuu, maana haiwezekani michuano ya nje ndo tushindwe ila ya ndani tumudu
Kwa pamoja tushirikiane kuutoa huu uongozi madarakani, ikiwezekana wanajangwani tusiende uwanjani maana ndo kunapowapa viburi.
Tunaomba mtuachie timu yetu,
Daima mbele nyuma mwiko
Hapana me ni yanga lia liaWe kolo kaa kwa kutulia boya wewe, tuachie Yanga yetu we ganga ya kwako huko Angola hujajua hata unatokaje.
Sent from my SM-A605F using JamiiForums mobile app
Mwache amevurugwa huyo.Senzo anaingia vipi hapo kama sio ukichaa?
Hapana kaka, tutasubiri mpaka lini!!? Ina maana nyie yanga wenzangu mnakubali kila siku kubinuliwa kwenye michuano ya kimataifaSasa jiulize hiyo nafasi nzuri unayoiona nani wameifanya iwepo na kabla ya wao kutia pesa hiyo nafasi ilikuwepo?
Timu ilikuwa imechoka sasa ndo inaanza kuonyesha nuru kwa shortcut ndio maana hata taifa stars haifanyi poa kwasababu tunataka matokeo ndani ya muda mfupi badala ya kuwekeza kwa malengoHapana kaka, tutasubiri mpaka lini!!? Ina maana nyie yanga wenzangu mnakubali kila siku kubinuliwa kwenye michuano ya kimataifa
Na itabondwa sanaKivipi kaka!!?? Mbona hatuna ushirikiano!!?
Ndio maana yanga inagongwa
Ina maana simba iko vizuri kuzidi Yanga!!? Mbona wao wanafanya vizuri kila kukicha!!??Timu ilikuwa imechoka sasa ndo inaanza kuonyesha nuru kwa shortcut ndio maana hata taifa stars haifanyi poa kwasababu tunataka matokeo ndani ya muda mfupi badala ya kuwekeza kwa malengo
Na bado[emoji23][emoji23]View attachment 2380927