Ni desturi ya Mashoga huwa hawaukubali ukweli wa aina au kitu chochote! Hujiona wana ndevu kumbe mademu tu! Wanaposhindwa kujibu hoja hukashifu na kutukana! Mwanaume kamili hujibu hoja kwa hoja!! Sio kuleta stori za kinamama!!
Mwananchi ukisema ukweli tu kwamba msimbazi kumeoza na kwamba Dube na Feisal ndo kiboko yao basi makolo watakuponda ila ngozi ngumu hii unajisumbua tu bro! Sikia we kolo, hata muwaponde wachezaji wetu ni walevi ukweli unabaki wamewazidi kiwango wale wa Simba , tunaongoza ligi 6 pointi ahead , tunawapiga simba kama ngoma ushindi wenu droo, hakuna timu ina ubavu kama wetu , Yanga tuna timu bora na tumeshawazidi kiwango nyie Kolo fc sio level yetu tena huu ukweli na uwakae sasa,
SImba mnatuboa sana wananchi kujilinganisha uwezo na sisi tulishawaacha mbali sana tangu tumchukue Diarra screen protector anadaka mishale, mabomu, makombora, mawe, kombeo na manati!
na kombe la ligi tunabeba tena na tena 5 to 10 years hadi nyie mashoga wekundu mfe kwa hasira!!
Kombe lenu makolo ni la mapinduzi vipi hamjaanza safari kwenda Zenji?