Eng. Hersi usipigie debe mgombea mmoja kiti Cha makamu wako

Eng. Hersi usipigie debe mgombea mmoja kiti Cha makamu wako

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Inaonekana kuwa unampenda Arafat moyoni kwako, lakini kwenye kazi sio hivyo. Tuache sisi wanachama tukupatie makamu wa rais wako wa club.

Kupigia debe mgombea mmoja na kumuacha mwingine sio afya sana kwa club, hasa yule unaempigia debe akiangushwa kwenye kisanduku cha kura. Wacha kila mtu ajinadi mwenyewe atu convince wapiga kura.
 
Acha aungane na ataeweza kufanya nae kazi bwashee
Inaonekana kuwa unampenda Arafat moyoni kwako, lakini kwenye kazi sio hivyo. Tuache sisi wanachama tukupatie makamu wa rais wako wa club...
 
Inaonekana kuwa unampenda Arafat moyoni kwako, lakini kwenye kazi sio hivyo. Tuache sisi wanachama tukupatie makamu wa rais wako wa club.

Kupigia debe mgombea mmoja na kumuacha mwingine sio afya sana kwa club, hasa yule unaempigia debe akiangushwa kwenye kisanduku Cha kura. Wacha kila mtu ajinadi mwenyewe atu convince wapiga kura.
Ndugu hujui tu kuwa Siku zote Matapeli hupenda kuwa pamoja kila sehemu?
 
Mmeshanunuliwa nyie, wote mko mfuko wa nyuma wa huyo "Engineer" wenu, tena mbaya zaidi amewachanganya na leso yake ya kufutia jasho.
 
hata hii imenimera sana hasa alipoenda na arafat pale makao mkuu nakunadi sera zao media zilikua kibao sasa yule dada alipoenda peke yake media hazikuzidi hata 3 hii mbaya
 
Mmeshanunuliwa nyie, wote mko mfuko wa nyuma wa huyo "Engineer" wenu, tena mbaya zaidi amewachanganya na leso yake ya kufutia jasho.
Kama na nyinyi mlivyonunuliwa na kuvurugwa kabisa na Mudi!
 
Acha aungane na ataeweza kufanya nae kazi bwashee
kitu kama hiko kinapatikana kwenye siasa tu peke yake ambako chama na mgombea wanachagua mgombea mwenza atakayekuwa makamu wa Rais kama mgombea urais atachaguliwa, lakini sio pahala pengene popote kama kwenye mpira. kufanya hivi kwenye mpira ni sawa na kuchagua mtu ambae, ama

1. Mfanikishe wote kwa urahisi, ama
2. Muibe wote na kufichiana siri, ama
 
Naangalia mchakato wa uchaguzi muda huu; Kama kweli wapiga kura wanataka Makamu wa rais mwenye sifa na vigezo vyote! Na wa kuisadia timu yetu ya Yanga kutoka hapa ilipo;

Basi huyu mwanamama Suma Mwainani sijui! Anastahili. Huyu Arafat naona angepewa tu nafasi ya ujumbe wa kuteuliwa.
 
Na msipomchagua Eng. Jiesiemu haitamleta Aziz Ki
 
Back
Top Bottom